Jamani DIT mtatuua

Jamani DIT mtatuua

acha kulialia wenzako tumesoma hapo supp tuliisikia kwenye bomba.
Kwanza siku hizi DIT imelegeza imekuwa soft sana, hapo ndio School of hardknock
Kipindi kile Msajili anaitwa Katto,Mkuu wa Chuo Msoma baadaye Magila,Engineering Mathematics kuna kiumbe anaitwa Elineema ilikuwa balaa tupu
 
Huna jinsi lazima unyamaze ma-CR wa SUA hatunaga mdhaha.....chuo SUA bwana DIT na UDSM ni kama TEKU tu. Nilikuwa CR wa SUA bwana unibabaishi kitu wewe.
Jamaa analeta longolongo kwa CR wa SUA sio?
 
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....
bila shaka utakuwa kijana wa dar wewe.Maana nyie mnapndalialia kiduanz Mimi wa chuga unasemaje kwan
 
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....
Hama. Tatizo umetokea shule ya kawaida, DIT walikuwa wanapokea watu cream kutoka technical schools wakiwa na foundation nzuri na ndo maana walikuwa hawalii kam wewe. Soma acha kulialia au la acha kauze machungwa
 
Alafu ukimaliza hapo unakuja mtaani unapigwa jua utosi miaka kadhaa ndio akili ikukae sawa
 
tz chuo ni kimoja tu UDSM.HOME OF INTELLECTUALS.
Siku hiz hatuangalii UDSM, tunaangalia UDSM huko unasoma nn, VP kuhusu future at least umeona uelekeo au just jina la chuo linakufurahisha, vp kuhusu hao wa vyuo vingine ....are they so weak, mbona mtaani hao wa UDSM wapo wengi kuzidi vyuo vingine what's wrong with them, THINK!!!!!!!
 
Siku hiz hatuangalii UDSM, tunaangalia UDSM huko unasoma nn, VP kuhusu future at least umeona uelekeo au just jina la chuo linakufurahisha, vp kuhusu hao wa vyuo vingine ....are they so weak, mbona mtaani hao wa UDSM wapo wengi kuzidi vyuo vingine what's wrong with them, THINK!!!!!!!
umesoma teku o ruco?
 
Kipindi kile Msajili anaitwa Katto,Mkuu wa Chuo Msoma baadaye Magila,Engineering Mathematics kuna kiumbe anaitwa Elineema ilikuwa balaa tupu
Huyo Elineema alipiga kibaha Advance ??, au sio huyo mkuu
 
unasoma Engineering acha kulialia mjomba, hata ukienda uko udsm st Joseph ,Saut na kwingineko kwote lazma upige msuli na mamodule ni mengi hivyo hivyo,Bachelor of Engineering sio Bachelor of education mjomba
KUSOMA [SANAAA] NI LAZIMA
Engineering ina mambo mengi sana,lazima ujitoe kikweli kweli siyo kuleta sababu.Piga shule kijana utoke ya clean sheet ya Supp.inawezekana tuu
 
Ulidhani chuo unaenda kujiremba? Hamia Data star college.
 
Back
Top Bottom