Jamani DIT mtatuua

Jamani DIT mtatuua

acha kulialia wenzako tumesoma hapo supp tuliisikia kwenye bomba.
Kwanza siku hizi DIT imelegeza imekuwa soft sana, hapo ndio School of hardknock
Mjomba kazi umetoboa wapi ili walau tujipe moyo?....unapigwa bei gan?
 
Nenda UDSM
Chuo kikuu cha Tanzania.
Huko kwingine mnasoma shule za kawaida tu
Mbona wakitoka huko wanalia ajira kama wa Iringa University tu. Ubora wa shule uonekane kwenye kutumia fursa kisomi sio maneno tu kama Manara wa simba. Mineno miiingi, kazi kujazana utumishi watu elfu mbili kugombea nafasi 3 then darasa la saba na wasiokwenda shule kabisa ndio wanatumia fursa zilizopo kutajirika.
 
Sasa ivi? Vyuoni kuna nafuuu enzi zile za kutembea na makaratasi ya Copy(Vitini) unakuta Pesa yote inaishia kwy kutoa photocopy ya vitabu na walimu walikuwa wazushi wanatoa vitini vya kopi kwy stationery zao basis changamoto mwanzo mwisho
 
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah,tuhurumiane....chuo masomo mengi,malecture jau,sheriq kali,apa hakuna viboko tu ila ni kama shule....

Kila mtu ana uwezo wake wa kuhandle vitu, unachohisi kwako ni kigumu ujue uwezo wako ndo mdogo ktk jambo hill, wapi waliosoma course ngumu zaidi ktk mazingira magumu zaidi lakini walitoboa na kutimiza ndoto zao.

Sina hakika kama wewe ndio batch ya kwanza ktk kozi unayotaka kutuaminisha ni ngumu, wamepita wengi hapo na sidhani kama walikuwa na mtazamo kama huo.

Jitahidi kuongeza bidii ili ufanikiwe zaidi japokuwa uwezo wako ni mdogo kuhimili hilo,( kutokana na lawama zako).
 
Umepata nafas ya kusoma unalalamika mambo magumu, kuna watu wanaitaman hyo nafas ila hawaipat kutokana na mambo ya fedha, majukumu au mambo mengne, kaza ndugu yangu acha upumbavu utakufuru bwege ww, kama mambo magumu hujalazmishwa ni maisha yako njoo mtaani come on mae
 
Kwa masomo mengi saanaa hkn chuo kingne ni SAUT...hawa jamaa hatareee....kajionee kule
 
Back
Top Bottom