Jamani DIT mtatuua

Jamani DIT mtatuua

Hama. Tatizo umetokea shule ya kawaida, DIT walikuwa wanapokea watu cream kutoka technical schools wakiwa na foundation nzuri na ndo maana walikuwa hawalii kam wewe. Soma acha kulialia au la acha kauze machungwa
singo atamuua
 
Back
Top Bottom