Jamani andikeni wosia mapema!

Jamani andikeni wosia mapema!

Je mkifa siku moja na mwanasheria wako inakuwaje... mfano mmepata ajali,,, maaana wengine tunazurula na wanasheria wetu safarini....
Kisheria unatakiwa uwe na copy tatu unatoa sehemu tofauti lazima kuna mmoja atasikia na kuja
 
naomba kwenye wosia uniweke kama mtunzaji wa Pussy wako, ntahakikisha anakuwa salama
Lol, my Pussy-Cat atakurarua hapendi kusogelewa na mtu asiyemjua

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Ndio mkuu, sasa kama nilikuwa namiliki nyumba na imeuzwa na benki kwanini nisichane
wosia, labda niandike tu wosia wa kisiasa "Wanangu naomba musiitupe CCM, CUF, C.... n.k"
ahahaha...noma mkuu
 
Mirathi siku zote ni tatizo.

Marehemu anaweza akaacha Wosia lakini bado Ndugu wa Marehemu wakaendelea kuleta zengwe.

Nimeshuhudia matukio ya hivi mara nyingi, na cha ajabu unakuta watu ambao wanashikia Bango mali za Marehemu ni wale Makaka, Madada wa marehemu, huku wakijua fika Marehemu ameacha Watoto.

Na pengine masikini waweza kuta Watoto wa Marehemu ni wadogo sana, lakini wale madada, makaka wa Marehemu hawatambui hilo.

Wanachojua wao ni kudhulumu haki ya Watoto na kugawana wao ambao kiukweli wako mbali na zile Mali ukilinganisha na Watoto wa Marehemu.

Haya mambo ya Mirathi Watu inafikia hadi Kurogana
 
Back
Top Bottom