Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
wana njia zao wanajua wenyewe ni kama mama anavomjua mwanae kapotelea wapi, maana mirathi haianzi bila kibali cha mahakama, na kibali cha mahakama kina involve process za wanasheria. But nachojua wanasheria wana njia zao wenyewe watajua tuuuuu.Sasa Mwanasheria au Bank watajuaje kama nimekufa??
Ulinyimwa kizaz nn mkuu?Nilishaandika kitambo na kuwaambia nishawaambia, nikifa nusu ya mali waiuze pesa iwekwe benk kwa ajili ya Paka wangu ale chakula kizuri na matibabu (kwa kupata minyoo tu hakajambo) mpk siku na yeye akifa au pesa zikiisha.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
io ni siri mkuu, wanaojua ni wewe na mwanasheria wako. mara nyingi iko ivo na ndivo inavotakiwa japo sio mara zote huwa inakua ivoAngalia huyo uliyemuandika kuwa ndiye mrithi anaweza kukudedisha mapema ili amiliki Mali. Akili za binadamu fyatu sana kwenye Mali.
Inategemea
Hivi ukiandika wosia si unauficha watu wasiuone??
Ukifa watajuaje ulipo?
Je mkifa siku moja na mwanasheria wako inakuwaje... mfano mmepata ajali,,, maaana wengine tunazurula na wanasheria wetu safarini....Unampa mtu ambaye si part ya wosia .. kwa mwanasheria pia...
Kwa kawaida anapewa mwanasheria na wahusika wanaambiwa ila content hawaambiwi. Ila kama mtu hana mwanasheria basi umpa mtu maalum kwa kazi hiyo.
Sasa Mwanasheria au Bank watajuaje kama nimekufa??
Hawawezi kama kweli wananipenda maana hiyo itabaki ni kumbukumbu yangu kwao.Hata mtt wa miaka 7 anamuuwa huyo paka! anabeba fedha sabuni ya roho