Lord Sauron
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 224
- 170
Wewe ni wakili wa kujitegemea nini mkuu. Naona kama unabembeleza biashara huku tena una lobby kwa serkali...
Dogo unamaswali kama yangu.. hivi nikitaka kuwasiliana na wewe nakufikiaje?
Email yako naipataje sasa?Nitumie Email
Mwanasheria akifa kabla yako?lazma will iwe na Proof ya mwanasheria, na mwanasheria anakua na copy, so ukifa ye ndo anakuja na ushahidi maana ni kazi yake kusimamia ulicho kiandika kitekelezeke. so will haifichwi bali hukaa kwa mwanasheria.
Then huyo mwanasheria atajuaje nimekufa?
Je mkifa siku moja na mwanasheria wako inakuwaje... mfano mmepata ajali,,, maaana wengine tunazurula na wanasheria wetu safarini....
Kwa kawaida anapewa mwanasheria na wahusika wanaambiwa ila content hawaambiwi. Ila kama mtu hana mwanasheria basi umpa mtu maalum kwa kazi hiyo.
Lol, kuna kiumbe asiyekua na kizazi bro.Ulinyimwa kizaz nn mkuu?
[Color= yellow]Triple A[/color]
Swali zuri sana hili... Chukua Bavaria hapo naja kulipa. lolMwanasheria akifa kabla yako?
Unaweza kuuwacha kwa mwana sheria wakoHivi ukiandika wosia si unauficha watu wasiuone??
Ukifa watajuaje ulipo?
aiseee!! Nliflir imetokea kwakoLol, kuna kiumbe asiyekua na kizazi bro.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
anhaa..wewe una sampo yoyote?Inategemea.. Dini au mila yako
Madam si nimesema wataambiwa kuwa akifa wakasomewe wosia kwa mwanasheria fulani na yeye anapewa taarifa za wahusika. Ili kufahamu kama mtu amekufa, inabidi kuonesha cheti cha kifo = death certificate. Au sijaelewa unacho maanisha?
sasa kama huyo pussy yako aki tangulia kabla yako inakuwaje?Nilishaandika kitambo na kuwaambia nishawaambia, nikifa nusu ya mali waiuze pesa iwekwe benk kwa ajili ya Paka wangu ale chakula kizuri na matibabu (kwa kupata minyoo tu hakajambo) mpk siku na yeye akifa au pesa zikiisha.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Nilishaandika kitambo na kuwaambia nishawaambia, nikifa nusu ya mali waiuze pesa iwekwe benk kwa ajili ya Paka wangu ale chakula kizuri na matibabu (kwa kupata minyoo tu hakajambo) mpk siku na yeye akifa au pesa zikiisha.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
watu mmevurugwaNi mimi ndio niliandika wosia kwani kuna dhambi kuandika kiumbe ukipendacho kifaidi maisha hata baada ya wewe kuondoka???aiseee!! Nliflir imetokea kwako
Maana huo wosia hata shetan
Lazma askitike
[Color= yellow]Triple A[/color]