Fanyeni tendo salama (hii ni kwa waliooa) nyie msiooa mkioa mtafanya hivyo hivyo kama kaka zenu.Kwahio tumwage njee?
Kama ni mwanamke wako wa siku zote ukimsoma utajua siku zake vizuri zipi hatari na zipi salama kukutana nae, japo unahitaji umakini wa hali ya juu sana make huwa zina fluctuate ni ka elimu kidogo tu kanahitajika..Kwahio tumwage njee?
Halafu mtu anajitia unafiki eti msibani anasikitika ilhali yy ni muuaji kama wauaji wengine.Mnaua kiumbe kilichoanza uhai ndani ya mfuko huo ambapo ndipo haki yake ilipo.
Usitoe uhai kwa maana tu uliteleza
Usitoe uhai kwa sababu unajisikiaga raha ukiwa haujavaa kondomu.
ABORTION IS SATANIC