donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,043
- 21,517
Mimi napenda kuuliza ivi ukienda sehem wakakwambia upeleke birth certificate ina maana wanakua hawaamin kama ulizaliwa au?
Ebo! Na wakikutaka ulete vyeti vyako vya shule/vyuo wanataka kujua kama hukusoma? Hapana. Wanataka kujua kama elimu uliyojitambulisha nayo unayo kweli.Mimi napenda kuuliza ivi ukienda sehem wakakwambia upeleke birth certificate ina maana wanakua hawaamin kama ulizaliwa au?