ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,595
- 59,929
Unaweza kukutana na mtu mkasalimiana, mkapiga story dakika 20, mkacheka kabisa… lakini hakuna anayesema jina lake. Mpaka mnaombana namba ndipo mchezo unaanza:
“Ni-save nani?”
Kuna ile culture ya kuzunguka sana kabla ya kuingia kwenye personal details. Watu wanaogopa kuonekana too direct au wanahisi kuuliza jina mapema ni kama unamvamia mtu. Ndiyo maana wengine hutumia tricks kama:
“Nikupigie missed call?”
“Una Instagram?”
“Ni-saveje?”
wakati swali la msingi lilipaswa kuwa rahisi tu:
“Mimi khaleed btw, wewe nani?”
Cha kushangaza ukienda baadhi ya nchi nyingine, mtu anakwambia jina lake ndani ya sekunde 5 tu:
“Hi, I’m Kevin.”Lakini huku unaweza kukutana na mtu mara tatu ndipo ujue kumbe anaitwa Kelvin ,,hio kutoambina majina ina faida gani?
“Ni-save nani?”
Kuna ile culture ya kuzunguka sana kabla ya kuingia kwenye personal details. Watu wanaogopa kuonekana too direct au wanahisi kuuliza jina mapema ni kama unamvamia mtu. Ndiyo maana wengine hutumia tricks kama:
“Nikupigie missed call?”
“Una Instagram?”
“Ni-saveje?”
wakati swali la msingi lilipaswa kuwa rahisi tu:
“Mimi khaleed btw, wewe nani?”
Cha kushangaza ukienda baadhi ya nchi nyingine, mtu anakwambia jina lake ndani ya sekunde 5 tu:
“Hi, I’m Kevin.”Lakini huku unaweza kukutana na mtu mara tatu ndipo ujue kumbe anaitwa Kelvin ,,hio kutoambina majina ina faida gani?

