Gobe Isiah
Member
- Aug 12, 2011
- 12
- 1
Jaman wana jf nina tatizo moja kwamba kila msichana ninayeanzisha naye mahusiano ya kimapenz huwa hajatulia na mpaka sasa nina miaka 23 nahitaji mchumba wa kufumga naye ndoa je nifanyeje?
Duh! kweli hi kiboko, thre month before wedding? dunia imeharibikaDogo anza kuwa mwaminifu wewe halafu mwenzi wako akishtukia wewe ni mwaminifu mtatulia. Kwa taarifa yako miaka ya sasa hivi kupata wa kwako peke yako ni ngumu sana, km huu usemi unavyosema kila ukutapo nyumba nzuri lzm ujue kuna mpangaji, so ukitafuta demu ukimpata lzm kwanza ujue kuna mtu pale! usijidanganye kabsaa kwamba uko peke yako, kuwa peke yako inachukua muda sana mpaka mwenzi wako aone kweli upo commited naye na hii hutokea labda 3 months before wedding! ambapo anaona sasa mh! hapa issue iko mezani nikifumwa naharibu mwelekeo wangu. ukweli unauma lkn ndivyo mapenzi yalivyo dogo kwa miaka ya sasa hivi ambapo maisha yanategemea sana pesa zaidi!
Dogo anza kuwa mwaminifu wewe halafu mwenzi wako akishtukia wewe ni mwaminifu mtatulia. Kwa taarifa yako miaka ya sasa hivi kupata wa kwako peke yako ni ngumu sana, km huu usemi unavyosema kila ukutapo nyumba nzuri lzm ujue kuna mpangaji, so ukitafuta demu ukimpata lzm kwanza ujue kuna mtu pale! usijidanganye kabsaa kwamba uko peke yako, kuwa peke yako inachukua muda sana mpaka mwenzi wako aone kweli upo commited naye na hii hutokea labda 3 months before wedding! ambapo anaona sasa mh! hapa issue iko mezani nikifumwa naharibu mwelekeo wangu. ukweli unauma lkn ndivyo mapenzi yalivyo dogo kwa miaka ya sasa hivi ambapo maisha yanategemea sana pesa zaidi!
jaribu kona baa ukikosa nenda sansiro.......
congratulation to your gfriends
wanakuacha koz ni watoto, bado hawajajua maana ya mapenzi.
Pia wanafanya hivyo koz walikuwa na mahusiano na mtoto mwenzao!
Duh....! Pole kwa kujaribu kuwahi maisha....! Lakini kutangulia sio kufika dogo....! Aidha, nisingependa nukufumbe macho then yakukute halafu ujinyonge....! Kwa mtazamo wa harakaraka, lakini usio rasmi, katika ndoa 100 zilizofungwa kihalali, ndoa 90 husalitiwa walau mara moja ndani ya miaka 5....! Ila swala ni je, aliyesalitiwa amejua? ......! Je, wewe ulipata kufunga ndoa kihalali? Au ni mahusiano tu? Kama ulishafunga, basi hivyo ndivyo mambo yanavyokuwa katika maisha, huenda na ya kwako imeangukia katika hizo 90....! Na kama bado, basi ujue huko uendako bado mziki mzito kuliko huo....! Nakushauri utulie, jitazame wewe mwenyewe, then get prepared enough....!Jaman wana jf nina tatizo moja kwamba kila msichana ninayeanzisha naye mahusiano ya kimapenz huwa hajatulia na mpaka sasa nina miaka 23 nahitaji mchumba wa kufumga naye ndoa je nifanyeje?
Jaman wana jf nina tatizo moja kwamba kila msichana ninayeanzisha naye mahusiano ya kimapenz huwa hajatulia na mpaka sasa nina miaka 23 nahitaji mchumba wa kufumga naye ndoa je nifanyeje?