TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,511
- 11,271
Kuna jamaa alilala juu ya mti
kumbe chini
ya mti ule wachawi
wanakutana,wali pofika
wakaanza kujitambulisha mimi
mchawi
kutoka Sumbawanga mimi
mchawi kutoka
Tanga, mimi
kutoka Naigeria, mimi kutoka
Congo. Jamaa anawasikiliza tu
akatokea mmoja
akasema mimi mchawi kutoka
Afghanistani,, jamaa
akasema mmh huyu atajilipua
sasa ivi
hawachelewi hawa. Tutakufa
sote, kwa
hofu akaruka puu chini. Nae
akajitambulisha mimi ni mchawi
toka
MBINGUNI. Wachawi wote
mbioo!!
kumbe chini
ya mti ule wachawi
wanakutana,wali pofika
wakaanza kujitambulisha mimi
mchawi
kutoka Sumbawanga mimi
mchawi kutoka
Tanga, mimi
kutoka Naigeria, mimi kutoka
Congo. Jamaa anawasikiliza tu
akatokea mmoja
akasema mimi mchawi kutoka
Afghanistani,, jamaa
akasema mmh huyu atajilipua
sasa ivi
hawachelewi hawa. Tutakufa
sote, kwa
hofu akaruka puu chini. Nae
akajitambulisha mimi ni mchawi
toka
MBINGUNI. Wachawi wote
mbioo!!