Jamaa atengeneza sufuria mbili kwa moja

Tyrone Kaijage

JF-Expert Member
Jul 19, 2021
1,611
3,342
Nimekatiza kwenye mtandao huko nimekutana na hii kitu. Inaokoa muda na inapunguza matumizi ya nishati. Ingawa ypo ya kuzingatia kwenye upishi huo

IMG_7875.jpg
 
Ugali Na Mboga Unapika Pamoja Hapo Hapo
Theoretically sawa,ila kiuhalisia haikubali hiyo.

Hiyo sufuria inacomplicate hasa.

Maana utapika mboga itaiva huku ugali bado kuiva,hiyo itakufanya ushindwe kuipua mboga kwa sababu ugali haujaiva,

kitendo cha kuzidi kuacha mboga hiyo jikoni inazidi kukauka(kukakamia) na mwishowe kukauka kabisa na mchuzi wote kupotea hata kuungua,hiyo ni hasara kubwa sana.

na wakati wa kupika ugali wako huku upande ungine una chakula kingine kwanza wakati wa kusonga hapo hapatakuwa na ile balance kwa sababu sufuria haina shape ya mduara,itakuwa ngumu sana kusonga ugali

Labda sufuria hiyo upikie vykula ambacho vitaiva kwa pamoja.
 
Theoretically sawa,ila kiuhalisia haikubali hiyo.

Hiyo sufuria inacomplicate hasa.

Maana utapika mboga itaiva huku ugali bado kuiva,hiyo itakufanya ushindwe kuipua mboga kwa sababu ugali haujaiva,

kitendo cha kuzidi kuacha mboga hiyo jikoni inazidi kukauka(kukakamia) na mwishowe kukauka kabisa na mchuzi wote kupotea hata kuungua,hiyo ni hasara kubwa sana.

na wakati wa kupika ugali wako huku upande ungine una chakula kingine kwanza wakati wa kusonga hapo hapatakuwa na ile balance kwa sababu sufuria haina shape ya mduara,itakuwa ngumu sana kusonga ugali

Labda sufuria hiyo upikie vykula ambacho vitaiva kwa pamoja.
Kitakachowahi kuiva kinapakuliwa
 
Huu ubunifu mchina ata modify sasa hivi, yaan ubunifu huu huu mchina ataurembesha kwa technologies zao
 
Back
Top Bottom