Jamaa atengeneza sufuria mbili kwa moja

Theoretically sawa,ila kiuhalisia haikubali hiyo.

Hiyo sufuria inacomplicate hasa.

Maana utapika mboga itaiva huku ugali bado kuiva,hiyo itakufanya ushindwe kuipua mboga kwa sababu ugali haujaiva,

kitendo cha kuzidi kuacha mboga hiyo jikoni inazidi kukauka(kukakamia) na mwishowe kukauka kabisa na mchuzi wote kupotea hata kuungua,hiyo ni hasara kubwa sana.

na wakati wa kupika ugali wako huku upande ungine una chakula kingine kwanza wakati wa kusonga hapo hapatakuwa na ile balance kwa sababu sufuria haina shape ya mduara,itakuwa ngumu sana kusonga ugali

Labda sufuria hiyo upikie vykula ambacho vitaiva kwa pamoja.
NAKUPINGGA...kiongozi unaonaje kuwa kama mboga ikiiva ukihihifadhi kwenye vyombo maalum vya kuhifadhia mboga kama hotpot...ama countainer....? nadhani sio lazima mboga ibaki kwenye sufuria
 
Theoretically sawa,ila kiuhalisia haikubali hiyo.

Hiyo sufuria inacomplicate hasa.

Maana utapika mboga itaiva huku ugali bado kuiva,hiyo itakufanya ushindwe kuipua mboga kwa sababu ugali haujaiva,

kitendo cha kuzidi kuacha mboga hiyo jikoni inazidi kukauka(kukakamia) na mwishowe kukauka kabisa na mchuzi wote kupotea hata kuungua,hiyo ni hasara kubwa sana.

na wakati wa kupika ugali wako huku upande ungine una chakula kingine kwanza wakati wa kusonga hapo hapatakuwa na ile balance kwa sababu sufuria haina shape ya mduara,itakuwa ngumu sana kusonga ugali

Labda sufuria hiyo upikie vykula ambacho vitaiva kwa pamoja.
Inayoiva unaichota unahamishia kwenye chombo kingine
 
Unapika chai afu pembeni unapika mchuzi wa samaki afu unafunikia ili vichemke.Badae unakunywa chai yenye ladha ya samaki hadi raha.
 
Inayoiva unaichota unahamishia kwenye chombo kingine
Ni kweli mkuu kwa hivyo inakuwa rahisi sana ila kwa hiko chombo kilivyo mfano mchuzi ukiiva hapo huwezi kuhamishia kwenye chombo kingine alafu kile kisehemu kikabaki hakina mchuzi,kuna mchuzi utabaki ambao huo mchuzi utaanza kuungua na kusababisha kuharibu sufuria.

Otherwise akimaliza atie maji mengi kusafisha sufuria.

Ila kiupande fulani hii sufuria kutumia ni kuongeza ugumu sana.
 
Yapo ya kuzingatia kwenye upishi huo kama ilivyoandikwa na mtoa mada pale.
Huwezi pika Maharage na Chai
Huwezi Kaanga samaki na ugali
Utaangalia vyakula vinavyoshabihiana hasa wale wazee wa mboga saba wanaelewa.
 
Back
Top Bottom