Aisee unawajua mataperi au unawasikia wakiwa washakutarget na kukuona una mpunga shukuruni hapa mshapata trick mpya ila ukiingia kingi hutoki
simlaumu jamaa matapeli huwa hawamtapeli mtu kiboya huwa wanakufatilia pengne hata miezi 2 hata mitatu kukupeleleza kiasi wakikuibukia washajua udhaifu wako na hutumia udhaifu huo kufanikisha jambo lao au tuseme tamaa km jamaa alivyobainisha hapo kutoka katika kitabu na tamaa ya pesa ya haraka ndo huponza
mfano mm nilitapeliwa kiboya tuu mpk leo najiona fala sana kuhaminishwa niliachiwa ESCUDO kipindi hicho zinatamba siku 3 na funguo nikapewa kuja kupata akili dadeki nishaingizwa chaka
hao wajomba wakuitwa mataperi omba usikutane nao
jambo zuri taperi ni kuwa 90% ya mataperi hawadhuru mtu mwili na mioyo hiyo hawana na hawawezi ndo mana akaamua kuwa taperi 7bu huwa smart kichwani na wengine wamepiga shure vizuri tu na magentleman haswa na km ukimkuta mdada ni PISI ya maana huwezi mkuta taperi muhunimuhuni mvuta bangi au mwenye muonekano wa kilevi 7bu utamtilia shaka tu
na taperi akipiga tukio au akishtukiwa anahana hilo eneo au mkoa hata miaka miwiri
Sent using
Jamii Forums mobile app