unataka U.DC?
Kuna Mjenga-Balozi wetu UAE, kama sijakosea!
unataka U.DC?
Wewe mpuuzi kweli..ff
kilema ni kiungoWewe kinakushinda nini kuwalinda, au wewe si Mtanzania? unangoja kila kitu ufanyiwe? wewe kilema?
kilema ni kiungo
mlemavu ni mtu.
hao watu wanaingiaje kwenye mjadala huu?
you may become one of them at the time you least expected.
mind your language
Of course, why not? nilikwambia kuwa mimi niko perfect?
Kumbuka "sicheke kilema, mja hujaumbika, diniani mja hauja umbika" - JB:
maneno ya kupinga kuwepo kwa wazo fulani akilini/moyoni mwako hutamkwa endapo wazo hilo tayari unalo.
Ni mwehu tu ndiye anaweza kupinga ukweli huu.
Watakuja watu kubeza hayo mafanikio. Mimi huwa nnawaambia wachanganye awamu zote waone kama Kikwete hajafanya zaidi ya wote.
Faiza hawana kitu hao. Jana walikuwa na vikao usiku vya viongozi wa kanda mbalimbali. Eti wanapanga kugomea matokeo 2015 na kuwaamuru redbrigade kufanya kazi za jeshi siku ya uchaguzi. In short wanataka kuingia msituni kuasi kwa kuwatumia redbrigade.
Hivi kiwango cha malipo kwa siku kimeongezeka au ni kile kile cha book 8?
jamani hata mimi naweza kutumia nyumba ya jirani tajiri nikalinga kuwa ni yangu, ukweli ni kuwa tuaachiwa deni ambalo raisi ajayo atachukua si chini ya miaka 12 kulilipa, na sidhani barabara na madaraja yaliyojengwa na wachina na mafisadi wengine zitadumu kwa kipindi hiki. (kumbuka hata barabara ya msata bagamoyo sii imara kiivyo, leo IMF wanataka turudi kwenye structural adjustements ya uchumi, na hii inamaana watu kuachishwa kazi, bajeti finyu nakadhalika. Ukweli ni kuwa bajeti za mwaka zimechezewa vibaya sana kutokana na usimamizi mbovu, na maendeleo yamedanganywa kisanii na madeni makubwaWatakuja watu kubeza hayo mafanikio. Mimi huwa nnawaambia wachanganye awamu zote waone kama Kikwete hajafanya zaidi ya wote.
Mkuu MJENGA, hakuna aliyesema JK hatalipwa na Mungu. Jk atalipwa tu maana kila kazi ina ujira wake. Kwa Mauaji ya watanzania wasio na hatia kama Mwangosi, Ally Zona, Mauaji ya wana Arusha. Mungu atamlipa Kikwete kwa kuiba fedha za Escrow. Kikwete atalipwa kwa mengi sana. Ukitaka tuyaweke hapa, tutayaweka tu."Mzawa JF"huwezi kuwa mzalendo wewe!. Uzalendo tuachie sisi "wazawa wa Tanzania". Wewe baki na kazi yako ya kuitumikia JF!
jamani hata mimi naweza kutumia nyumba ya jirani tajiri nikalinga kuwa ni yangu, ukweli ni kuwa tuaachiwa deni ambalo raisi ajayo atachukua si chini ya miaka 12 kulilipa, na sidhani barabara na madaraja yaliyojengwa na wachina na mafisadi wengine zitadumu kwa kipindi hiki. (kumbuka hata barabara ya msata bagamoyo sii imara kiivyo, leo IMF wanataka turudi kwenye structural adjustements ya uchumi, na hii inamaana watu kuachishwa kazi, bajeti finyu nakadhalika. Ukweli ni kuwa bajeti za mwaka zimechezewa vibaya sana kutokana na usimamizi mbovu, na maendeleo yamedanganywa kisanii na madeni makubwaView attachment 228865View attachment 228865