Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Tuoneshe lipi lililofanywa zaidi kabla ya wakati wa Kikwete.
Mtafakari Nyerere....
Tuoneshe lipi lililofanywa zaidi kabla ya wakati wa Kikwete.
Watakuja watu kubeza hayo mafanikio. Mimi huwa nnawaambia wachanganye awamu zote waone kama Kikwete hajafanya zaidi ya wote.
Mtafakari Nyerere....
kati ya kikwete na Mwinyi nani alifanya mazuri zaidi ya mwingine
Nyerere hakupendwa na Wamarekani? Kwani mbona Wamarekani wamempa tuzo kibao huzitambui hizo tuzo unazitambua za Kikwete tu?Huyo ndiyo katika listi ni wa mwisho kabisa. Huo ndio ukweli.Na Udikteta wake lakini hakuna cha maana kwa Watanzania kutoka kwake kilichozidi wengine.
Kumbuka kuwa mpaka sasa ni wachungaji ndiyo wameshikwa na vipande vya albino.
Kwani hapa tunazungumza udini? Kwahiyo awamu zingine wachungaji hawakuwepo? Udhaifu mwingine Ni hatari kabisa kwa afya ya taifa. Walemavu wangapi wa ngozi wameuawa tangu aingie nadarakani?Ni Wachungaji wangapi wamekamatwa Na kupewa malipo Yao ya haki tangu kipindi hicho. Au naye aliingia madarakani kwa kutumia hivyo viungo? Twesha!!!
Hayo ya dini unaleta wewee, mimi nasema mpaka sasa walioshikwa ni wachungaji na hayo si yangu nimeyasoma, sasa wewe utatia mwenyewe akili mu kichwa chako.
Soma zaidi: Dullonet Tanzania | Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste akamatwa na viungo vya Albino.
Wewe mpuuzi kweli