singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
Mwenye wivu na ajinyonge
Dini ya Wassira ndio kigezo cha wewe kumporomoshea mitusi?
Sikusikia mfumko wa bei wala wakati wa Mkapa kama ilivyo sasa.
Je hazina anaiacha vipi.Anapoondoka. Amejitahidi kwa sehemu yake na kila aliyepita ana mazuri na mabaya pia. Hivyo siwezi kubeza wala kumpa credit kwamba kafanya zaidi ya waliomtangulia nitakuwa nampaka mafuta na kuwa mshabiki tu.
Matusi yako wapi? onesha. Kama hauna la kuandika ni bora ukae kimya kuliko kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Hakuna Rais yeyeote wa Tanzania aliyefikia hata nusu ya mafanikio ya Kikwete, tena changanya wote kwa pamoja kwa miaka 44 yao hawafikii mafanikio ya Kikwete ya miaka 9. Kumbuka hilo.
Katazame takwimu za mifumko ya bei utaona uafadhali uko wapi? wakati wa Mkapa ulikuwa na miaka mingapi?
Katazame takwimu za mifumko ya bei utaona uafadhali uko wapi? wakati wa Mkapa ulikuwa na miaka mingapi?
Sitegemei punguani kama wewe kunielewa.
Kikwete ndiye Rais pekee na wa kwanza Tanzania aliyepata tuzo ya utawala bora, kumbuka hilo.
Kikwet endiye wa kwanza kualikwa rasmi na Obama kutokea Afrika alipochukuwa madaraka USA.
Kikwete ndiye Rais wa kwanza dunia aliyeweza kuwakutanisha Marais wanne kwa pamoja Afrika kwa wakati mmoja, Obama, Bush, Clinton na Jimmy Carter. Haijwahi kutokea kwingine.
Na mengine mengi ya kwanza ya Kikwete nikianza kuyaweka hapa tutakesha.
1. Sishangai kuniita punguani maana hata Baba yako Wassira umemwita punguani
2. Tuzo ya utawala bora iliyotolewa na Makafiri leo ndo unaifanya reference? Mbona walipomtwanga na kumchinjilia mbali Sadam hukuona kama ni reference?
3. Obama aliyewashikisha adabu Magaidi leo ndio kipimo cha ubora wa kikwete?
4. Wamarekani ndio wanaowatia adabu magaidi. Hao ndio,marafiki wa JK. Na ndio hao wanaoongoza kuiba raslimali za watanzania. Si unaona Barrick wanavyokamua?
Ungetuonyesha basi
Katafute google au tuoneshe wewe kuwa sasa zaidi kwa takwimu si kwa porojo tu.
Watakuja watu kubeza hayo mafanikio. Mimi huwa nnawaambia wachanganye awamu zote waone kama Kikwete hajafanya zaidi ya wote.
Umevurugwa!