Hatuko katika mwaka wa biashara hapa maana ulitaka twende kwenye trends hapo ndipo utakapokuta unayetaka kumsifia ni bure maana kwenye fiscal development amekuwa failure
kichefuchefu
Mimi huwa nnawaambia siku zote, kama ni wapinzani wa kweli na mnaitakia mema Tanzania, mtaonesha aliyoyafanya Kikwete kisha mtasema sisi tutafanya zaidi hiki na hiki na hiki, hivi na hivi na hivi. Hapo tutawaelewa. Lakini huu upinzani usio na la kufanya mimi nauona ni ujinga tu na si upinzani.
Una mimba changa?
Mtamkumbuka mda wake ukiisha
Mafanikio ya kupasuliwa busha ni dhahiri...
Kwa mara ya kwanza Tanzania tuna Taasisi mahsusi ya moyo Tanzania, leo wakati wa Kikwete tunajivunia hilo, dogo?:
![]()
Ukiingia ndani humo hakuna tofauti na hospitali za dunia ya kwanza.
Utajua uko dunia ya saba pale utakapokuta hakuna huduma yoyote, ndiyo maana namsifu sana JK yeye huenda US hata tezi likimsumbua yeye huyooo, wabunge na mawaziri wao India hiyo Muhimbili mtajua wenyewe haimuhusu Rais wetu aliyetukuka
Unaongelea cancer ninaongelea moyo.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Umwa moyo uende pale halafu uje kutwambia kama hakuna huduma.
Ni kweli kabisa - Nimetoka Kigoma juzi nimeona ile ahadi yake kuwa atakapokuwa Raisi atapageuza kuwa DUBAI:rockon:Watakuja watu kubeza hayo mafanikio. Mimi huwa nnawaambia wachanganye awamu zote waone kama Kikwete hajafanya zaidi ya wote.
Ni mwehu tu ndiye anaweza kupinga tokea utawala wa baba wa taifa/mwinyi/Mkapa hakuna kasi ya mauaji ya watu walemavu (Alibino) yaliyoshika kasi katika bara la Africa katika utawala wa JK!:rockon:Ni mwehu tu ndiye anaweza kupinga ukweli huu.
Ni kweli kabisa - Nimetoka Kigoma juzi nimeona ile ahadi yake kuwa atakapokuwa Raisi atapageuza kuwa DUBAI:rockon: