Usinge jibu hivi ningekujibiaMungu alimchagua Kwa kumuondoa bwana Yule na kuingia Samia. Wewe ulijua kuna siku atakuja kuwa Rais? Ni mipango ya Mungu. Mnaotaka afeli mtasubiri sanaaa.....Aliyemuweka atamuoongoza
Usinge jibu hivi ningekujibiaMungu alimchagua Kwa kumuondoa bwana Yule na kuingia Samia. Wewe ulijua kuna siku atakuja kuwa Rais? Ni mipango ya Mungu. Mnaotaka afeli mtasubiri sanaaa.....Aliyemuweka atamuoongoza
Ukisema anaendesha nchi vizuri lazima kuna wasiwasi kwamba ameshakoroga sana, na kwa vyovyote vile hilo litakuwa linatokota ndani kwa ndani., mtajuanaRais mstaafu J. Kikwete akihojiwa amesema nchi inakwenda vizuri chini ya Samia na changamoto mbalimbali zinaondolewa ikiwemo uongezaji wa huduma za dharura kwenye sekta ya afya...
Unaweza kusubiria afe ukajikuta wewe ndio unatangulia. Kwanini usiende kumuwahisha ili moyo wako usuuzike shetani mkubwa we.Ukarimu wote anaompa ndo leo asimsifie kweli, hawa wote wezi tu na huyo mpuuzi angejua kitaani anavyochukiwa laiti angekaa kimya. Hakuna anayeomba kifo ila huyu dalali akifa nitamtolea Mungu sadaka nono sana
Nawe una overeact! Kwa maelezo hayo mbona Ushungi ndo kitu pekee ambacho mwandishi kamsifia? Au unatafuta sababu ya kumuunga mkono kidini?Kwanini unaongelea ushungi? mavazi yake yana uhusiano gani na utandaji wake...achani chuki za kidini, mnatufanya sie waislamu kumtetea hata kama ameshindwa uraisi
Yaan JK anatuona sisi wajinga sana.Makamba kuwa wazir kwa Mara nyingine hapo kweli tunahitaji katiba mpya.Rais mstaafu J. Kikwete akihojiwa amesema nchi inakwenda vizuri chini ya Samia na changamoto mbalimbali zinaondolewa ikiwemo uongezaji wa huduma za dharura kwenye sekta ya afya...
Leta uthibitisho hapa kuwa lini na ni wapi Mungu alikuambia Samia ni chaguo lake?Natumaini kiwango chako cha kuelewa kipo chini sana ktk maswala haya kwa akili yako kwanini amchague yeye wako wangapi kwanini asiwe yule.
Halafu Samia halikua chaguo la Mwendazake kwa taarifa yako chaguo la mwendazake mgombea mwenza alikua Huseni Mwinyi sasa jiulize kwa nini akawa Samia asiwe Huseni Mwinyi?
"Demokrasia siyo sawa na fomula ya soda ya koka kola" Mama SamiaJK ni bingwa wa spinning politics, anatafuta angle ya kuhamisha mjadala wa utawala wa mama kudorora, na anajua fika siku za mama kuendelea kukaa madarakani zinahesabika sana, maana kinachoendelea nyuma ya pazia ni kitu kizito na taarifa tetesi zimeshaanza kuvuja.
WanaCCM wanasema Mama hatoboi, iwe jua iwe mvua!
Leta uthibitisho hapa kuwa lini na ni wapi Mungu alikuambia Samia ni chaguo lake?
Pia kuhusu ugombea wenza haihusishi chochote ndio maana nimetoa mfano wa Polepole sababu kwa Tanzania VP ni ceremonial leader huyo Samia ndio amebahatika kuibukia na kuwa Rais by default kinyume cha hapo ni kivuli tu huyo VP.
Mwisho niseme tu hujajibu swali mpaka pale utakapoweka uthibitisho Samia lini aliteuliwa na Mungu
Sema alitakiwa aonyeshe ukomavu, akili yake hairuhusu hali hiyo.JK ni mwanasiasa haswaa, amekomaa kweli kweli!
anaijua hii nchi nje ndani!
namkubali sana, japo sometime huutumia ukomavu wake kwenye siasa kupiga.
Acha majungu na chuki.JK ni bingwa wa spinning politics, anatafuta angle ya kuhamisha mjadala wa utawala wa mama kudorora, na anajua fika siku za mama kuendelea kukaa madarakani zinahesabika sana, maana kinachoendelea nyuma ya pazia ni kitu kizito na taarifa tetesi zimeshaanza kuvuja.
WanaCCM wanasema Mama hatoboi, iwe jua iwe mvua!
Kama ni hivyo,iko poa sana.Iko hivi kama hamjagundua,
- Vasco ameshika remote
- Prince ndiye anamwelekeza Vasco buttons za kubonyeza
- Na picha ndiyo hiyo mnayoona
Mungu ndiyo kaishamchagua Samia.Mtake ama msitake mama atamaliza muda aliopangiwa na Mungu.JK ni bingwa wa spinning politics, anatafuta angle ya kuhamisha mjadala wa utawala wa mama kudorora, na anajua fika siku za mama kuendelea kukaa madarakani zinahesabika sana, maana kinachoendelea nyuma ya pazia ni kitu kizito na taarifa tetesi zimeshaanza kuvuja.
WanaCCM wanasema Mama hatoboi, iwe jua iwe mvua!
Napumbu utapigwa.Huyo JK sikuwahigi kumlenda tangu mwanzo. Alipopitishwa 2005 kuwa Mgombea Urais wa CCM nililia sana siku hiyo. Na hata leo simpendi. Siku "akienda zake" nitakunywa pombe ya gharama ya juu zaidi inayopatikana mtaani kwangu!!!
Na pumbu utapigwa.Huyo JK sikuwahigi kumlenda tangu mwanzo. Alipopitishwa 2005 kuwa Mgombea Urais wa CCM nililia sana siku hiyo. Na hata leo simpendi. Siku "akienda zake" nitakunywa pombe ya gharama ya juu zaidi inayopatikana mtaani kwangu!!!