Jakaya Kikwete akizungumzia mtandao

Jakaya Kikwete akizungumzia mtandao

Iko hivi anaeukutuma uende ukaangamize sehemu Huwa yeye yupo tayari asijulikane kwenye Hilo angamizi ila yupo tayari kuangamiza Sasa anachokifanya ni kutuma/kutafuta mtu baada ya kukamilisha jambo sababu yule aliemtuma hayupo tayari kufahamika basi hulazimika kumaliza yule aliemtuma Ili kulinda Siri.


Hvyo ukiona unatumwa uende ufanikishe au usifanikishe ujue na wewe soon utaenda kwalazima Ili Siri iwe Siri.

Swali inawezekanaje uende kariakoo saa sita mchana ukutane na watu wawili tuu kariakoo nzima na Mitaa yote Ile je hao watu wengine wanakuwa wameenda wapi?
 
Ndiyo maana walipomkatalia Sitta asigombee Uspika alikasirika sana. Nakumbuka alisema kwa hasira "kama walikuwa hawataki niwe spika si wangeniambia?"
Uamuzi huo tayari walikuwa wameshachelewa sana tuliosoma enzi hizo katika Chuo fulani (......)tunaikumbuka ile Program u iliyoitwa PUBLIC INTERGRITY RESTORATION INITIATIVE (PIRI)
 
Iko hivi anaeukutuma uende ukaangamize sehemu Huwa yeye yupo tayari asijulikane kwenye Hilo angamizi ila yupo tayari kuangamiza Sasa anachokifanya ni kutuma/kutafuta mtu baada ya kukamilisha jambo sababu yule aliemtuma hayupo tayari kufahamika basi hulazimika kumaliza yule aliemtuma Ili kulinda Siri.


Hvyo ukiona unatumwa uende ufanikishe au usifanikishe ujue na wewe soon utaenda kwalazima Ili Siri iwe Siri.

Swali inawezekanaje uende kariakoo saa sita mchana ukutane na watu wawili tuu kariakoo nzima na Mitaa yote Ile je hao watu wengine wanakuwa wameenda wapi?
Kwa ufupi,wana tabia za kichawi.
 
Back
Top Bottom