Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

- Kazi ya Warioba ilikuwa ni kukusanya maoni tu ya wananchi na kuyaandika chini sio kutuamulia maoni yake, kama kuwa na haya mawazo ni kujiabisha so be it! ha! ha1 ha1

Le Mutuz

Ni bora kukaa kimya ukaficha ujinga wako.....
 
- ha! ha! ha! ha! ha! uchawi tena? ha1 ha!

Le Mutuz

Badilika uwe na busara kama dada zako tena wana heshima kubwa katika jamii
838f3OjDYoFH0xhAAAAAElFTkSuQmCC
 
- Kisheria Warioba hana haki zaidi yangu na wewe ni mwananchi tu wa kawaida ndio maana hana mamlaka ya kuamua Katiba mpya ni CCM yenye Wabunge wengi bungeni yenye hayo mamlaka,

Le Mutuz

Ama kweli wewe ndio kichwa maji kabisa @ SWEETLADY hakukosea kukushangaa.Hivi aliyekuambia Mswada wa Katiba kuwa Katiba unaamuliwa kwa wingi wa Chama flani bungeni ni nani?Pale hatupitishi Katiba ya Chama flani cha Siasa bali tunapitisha Katiba ya Nchi.Katiba ya Nchi haiangalii nani ana watu wengi Bungeni basi na wakitakacho kipite kwa kutumia faida ya wingi wao.Katiba ya Nchi inapaswa kuwa shirikishi kwa ku-include maoni ya makundi yote katika jamii na itakayokidhi maslahi ya makundi yote hayo na kwa Taifa kwa ujumla na mwisho kwa kuwa Katiba ni ya Nchi ni vyema busara na tafakuri ya kina ikapewa uzito wake katika kufanya maamuzi badala ya kuingiza ushabiki vyama katika jambo nyeti kama hili.Kosa litakalofanyika leo litaigharimu Taifa kwa miaka mingi ijayo.
 
Hawa viongozi wa ccm wasiotumia akili wanapozungumza watatuletea majanga makubwa sana ktk nchi hii..
 
Ama kweli wewe ndio kichwa maji kabisa @ SWEETLADY hakukosea kukushangaa.Hivi aliyekuambia Mswada wa Katiba kuwa Katiba unaamuliwa kwa wingi wa Chama flani bungeni ni nani?Pale hatupitishi Katiba ya Chama flani cha Siasa bali tunapitisha Katiba ya Nchi.Katiba ya Nchi haiangalii nani ana watu wengi Bungeni basi na wakitakacho kipite kwa kutumia faida ya wingi wao.Katiba ya Nchi inapaswa kuwa shirikishi kwa ku-include maoni ya makundi yote katika jamii na itakayokidhi maslahi ya makundi yote hayo na kwa Taifa kwa ujumla na mwisho kwa kuwa Katiba ni ya Nchi ni vyema busara na tafakuri ya kina ikapewa uzito wake katika kufanya maamuzi badala ya kuingiza ushabiki vyama katika jambo nyeti kama hili.Kosa litakalofanyika leo litaigharimu Taifa kwa miaka mingi ijayo.

- Hayo maneno ya kutishia nyau watuwazima, CCM tumeshaamua tutaisimamia katiba kama Sheria inavyosema, Warioba na Chadema poleni sana, siku zote huwa mko on the wrong side na on the wrong timing, unawezaje kudai katiba mpya na huku unajua huna majority wala hata close to it, soma historia za Dunia za kubadilisha katiba uone kama kuna taifa hata moja Duniani limewahi kubadili katiba huku likiwa na majority kubwa kama CCM, poleni sana huko hamna political startegists wazuri, mnatia ibu sana!1

Le Mutuz
 
Mchango wa warioba nauunga mkono kwa 100%.

Anafahamu wazi nchi inakoelekea na hao walio wengi wasivyojali nchi yao.

Kiuhalisia Warioba si kwamba anawasapoti CDM, ila yupo sawasawa na mawazo ya cdm. Anaonekana kama Nyerere aliye hai.
 
- tunaishi kwa Sheria sio kanuni, Sheria ipo wazi Warioba hana mamalaka ya kuwaamulia wananchi Katiba, ila anayo mamalaka ya kukusanya maoni yao na kuyaandika chini, Warioba hana mamlaka yoyote kikattiba ya kuwaambia eti Viongozi wa Saisa wakae chini kujadili tena Rasimu, Rasimu imeshaenda Bungeni imepitishwa na Wabunge wa Chadema na CCM, sasa inasubiri saini ya Rais iwe Muswaada na kujadiliwa na Wabunge,

- Labda nikukumbushe historia kidogo, kule USA ni Republicans ndio walioamua kupunguza mafao ya Marais wao kwa sababu ya wingi wao bungeni, na ni wao ndio walioamua kupunguza malipo ya welfare ya wananchi wao bila kujali uchache wa Democrats bungeni kwa sababu Sheria inasema ni majority ndio wenye uamuzi wa mwisho wa marekebisho ya sheria, CCM ndio wenye mamlaka ya mwisho kisheria ya jamhuri kuamua katiba mpya iweje sio Warioba na Chadema.

Le Mutuz

Hapo kwenye Red: vp swala la katiba mpya lilikuwa kwenye ilani ya CCM?? Jibu ni hapana (rejea kauli za awali za akina Kikawe na Kombani) Lakini nini kimetokea?
 
Mchango wa warioba nauunga mkono kwa 100%.

Anafahamu wazi nchi inakoelekea na hao walio wengi wasivyojali nchi yao.

Kiuhalisia Warioba si kwamba anawasapoti CDM, ila yupo sawasawa na mawazo ya cdm. Anaonekana kama Nyerere aliye hai.

- Nyerere alie hai alitaka Serikali tatu? ha1 ha! ha!, nenda msome vizuri maneno ya Nyerere!!

Le Mutuz
 
Hapo kwenye Red: vp swala la katiba mpya lilikuwa kwenye ilani ya CCM?? Jibu ni hapana (rejea kauli za awali za akina Kikawe na Kombani) Lakini nini kimetokea?

- Katiba mpya mmeitaka wenyewe mkjiua wazi kwamba hamuwezi kubadili anything kwa sababu hamna wabunge wa kutosha, sasa mnalilia nini na mnamlilia nani hasa?

Le Mutuz
 
ninaheshimu na kuikubali kazi nzuri Jaji Warioba anayofanya kwenye mchakato wakatiba....... nilisema kwa yule alietoa tetesi za Warioba kujiuzulu kwamba mimi ni, na, nitaendelea kuwa Tomaso hadi siku atapofanya kwel. Anapojitetea ccm haijamtaka ajiuzulu kwani huyo Bulembo ni nan? Au alitaka nan kutoka ccm atamke ndio aelewe? Kukwepa hizi dharau na kadhia anazopata mi naona heri achukue uamuz mgumu mapema kabla hawajamuaibisha.

warioba hata akijiuzulu hamna madhara maana katiba mpya ishaandikwa. serikali ni tatu, mawaziri hawatokani na wabunge na maDC wamefutwa. Bulembo na Lemutuz wanapiga yowe wakati mwenyekiti wao anafikiria jinsi ya kuunda tume ya katiba ya Tanganyika
 
Nyerere hai nikimaanisha mtetezi wa haki za binadamu.

Tuache ushabiki pasipo jenga hoja timilifu.
 
- Mbona Mwenyekiti wako Chadema ana elimu ndogo sana, toa boriti kwako kwanza mkuu!!, halafu PhD ya Dr. Slaa ni ya wapi eti? ha1 ha! h!

Le Mutuz
Elimu ni nini Malecela? kama nyie ndo mnaoishauri ccm kuhusu Elimu basi ndo maana mfumo wetu wa elimu unayumba! halafu yule Malecela tuliyesoma naye alikuwa kamanda?
 
Nyerere hai nikimaanisha mtetezi wa haki za binadamu.

Tuache ushabiki pasipo jenga hoja timilifu.

- Mmeungana na CUF haikutosha sasa Warioba nayo ni bure, mnachotakiwa kufanya ni kutafuta kura kwa wananchi ili mshike dola muandike katiba yeni na CUF, so far CCM ndio wenye power so tulizeni boli kwanza!!

- Nyerere hahusiki na uwezo wenu mdogo wa kufikiri na kuelewa kwamba mlipoanzisha Chadema tulikuwa na Katiba ya chama kimoja, tamaa ya madaraka mkakimbilia bila kuuliza, leo mpo wabunge 46 tu bungeni eti mnaweza kuungana na Warioba kuandika katiba mpya hamuwezi maana sheria haikubali!!

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom