Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

Jaji Warioba amjibu Bulembo (CCM)

- Rasimu haijadiliki tena ndio maana Chadema na CUF wanasema Rais asisaini ili iendelee kujadiliwa naona wewe ndio unahitaji kusoma tena katiba.

Le Mutuz

Narudia tena kukufundisha ndugu

Kinachopingwa na Watanzania wengi kisisainiwe na rais SIO Rasimu ya katiba,
Bali ni MSWADA wa SHERIA ya KATIBA,

Rais hana mamlaka kwa sasa ya kusaini rasmu ya katiba mpaka ije kwa wananchi na kupigiwa kura,

Tatizo mnatuma pesa ikasome badala ya nyinyi kusoma,

Rudi class mkuu, sio dhambi
 
- tunaishi kwa Sheria sio kanuni, Sheria ipo wazi Warioba hana mamalaka ya kuwaamulia wananchi Katiba, ila anayo mamalaka ya kukusanya maoni yao na kuyaandika chini, Warioba hana mamlaka yoyote kikattiba ya kuwaambia eti Viongozi wa Saisa wakae chini kujadili tena Rasimu, Rasimu imeshaenda Bungeni imepitishwa na Wabunge wa Chadema na CCM, sasa inasubiri saini ya Rais iwe Muswaada na kujadiliwa na Wabunge,

- Labda nikukumbushe historia kidogo, kule USA ni Republicans ndio walioamua kupunguza mafao ya Marais wao kwa sababu ya wingi wao bungeni, na ni wao ndio walioamua kupunguza malipo ya welfare ya wananchi wao bila kujali uchache wa Democrats bungeni kwa sababu Sheria inasema ni majority ndio wenye uamuzi wa mwisho wa marekebisho ya sheria, CCM ndio wenye mamlaka ya mwisho kisheria ya jamhuri kuamua katiba mpya iweje sio Warioba na Chadema.

Le Mutuz

Samahani sana mkuu,ila kwa point hii ninalazimika kukudharau mkuu wangu.
 
- Kaiz ya Warioba ilikuwa kukusanya maoni, na kuyakabidhi kwa Taifa sio kutuamulia maoni yawe ya Serikali tatu, maoni yamekusanywa na sasa yatachambuliwa yakiwa kama muswaada.

Le Mutuz
Wakati mwingine ujifunze ndio uje kuandika humu unajivua nguo sana.
 
- Warioba anaweza kutimiza wajibu wake kama tu akijiuzulu now na kusema maoni yake akiwa nje ya tume, nenda usome tena katiba inasemaje

Le Mutuz
Inashangaza kumtaka mwenyekiti wa tume ya katiba mpya ajiuzuru na kukaa kimya kumtaka waziri wa elimu kujiuzuru, pana namna hapa si bure.
 
- Chama cha Mapinduzi tunataka Serikali mbili, Warioba na Chadema mnataka Serikali tatu nani atakayeshinda? Chadema na WArioba ni 47 tu, CCM 280 unaona maana ya kuropoka!

Le Mutuz
Swala sio kushinda au kushindwa bali watanzania wanataka nini.
 
Narudia tena kukufundisha ndugu

Kinachopingwa na Watanzania wengi kisisainiwe na rais SIO Rasimu ya katiba,
Bali ni MSWADA wa SHERIA ya KATIBA,

Rais hana mamlaka kwa sasa ya kusaini rasmu ya katiba mpaka ije kwa wananchi na kupigiwa kura,

Tatizo mnatuma pesa ikasome badala ya nyinyi kusoma,

Rudi class mkuu, sio dhambi
Mkuu wapo wengi ndani ya chama chetu wasioelewa hilo, ni majanga sana.
 
- Rasimu haijadiliki tena ndio maana Chadema na CUF wanasema Rais asisaini ili iendelee kujadiliwa naona wewe ndio unahitaji kusoma tena katiba.

Le Mutuz

We jamaaa vipi? Umelewa? Mbona mbishi sana? Umeambiwa kunatofauti ya Rasimu ya Katiba na Muswada wa sheria kwanini hutaki kuelewa?
Kilichopo mezani kwa Raisi ni MUSWADA wa SHERIA na sio RASIMU ya KATIBA.

Kweli Akili haijakua. Yani huna Tofauti na Bulembo, Masaaburii, Cisco, Kihiyo, Madabida, Tambwe yani ni walewale hivi huko MACCM nyie ndio Wazazi mpo hivi je Vijana wakoje(#TeamBK7).
 
- Rasimu haijadiliki tena ndio maana Chadema na CUF wanasema Rais asisaini ili iendelee kujadiliwa naona wewe ndio unahitaji kusoma tena katiba.

Le Mutuz

Malicela, kilicho mezani kwa Rais ni Muswada wa Sheria uliopitishwa na Bunge (huo unaolalamikiwa na Chadema, Cuf na Nccr) si Rasimu ya Katiba.

Nimekwambia pale juu fanya homework kwanza. Si lazima kujibishana na Watu, wewe ni verified user na Kiongozi
wa Chama.

Muswada ulioko mezani unazungumzia zaidi namna Bunge la Katiba litakavyokuwa, wakati Rasimu bado ipo kwenye mchakato wake.
 
Inashangaza kumtaka mwenyekiti wa tume ya katiba mpya ajiuzuru na kukaa kimya kumtaka waziri wa elimu kujiuzuru, pana namna hapa si bure.

Hahaa!
Hao hata usiwatajie Elimu,
Yericko kasema huwa Wanatuma Pesa ikasome badala ya kusoma wao wenyewe na matokeo ndio hayo.
Yani ni zero mpaka vijana wao #TeamBK7 .
 
- Chama cha Mapinduzi tunataka Serikali mbili, Warioba na Chadema mnataka Serikali tatu nani atakayeshinda? Chadema na WArioba ni 47 tu, CCM 280 unaona maana ya kuropoka!

Le Mutuz

Toeni sababu za kushawishi sio kufustrate mchakatao au mnataka watu wapige kura kuchagua serikali mbili au tatu
 
- Sheria ipo wazi kwamba majority bungeni ndio wenye uamuzi wa mwisho wa marekebisho ya sheria ya jamhuri,...

Le Mutuz

Too low! Na haya ndiyo matatizo ya kukariri bila kuelewa .. Kwa hiyo, kwa kuwa walemavu siyo majority basi wasisikilizwe? Process ya kuandika katiba haifuati majority. Inatakiwa iwe inclusive as far as possible. Makundi na aina zote ya watu wasikilizwe .. wazee, vijana, walemavu, wanamuziki, vyama vyenye itikadi mbali mbali, n.k.
 
- tunaishi kwa Sheria sio kanuni, Sheria ipo wazi Warioba hana mamalaka ya kuwaamulia wananchi Katiba, ila anayo mamalaka ya kukusanya maoni yao na kuyaandika chini, Warioba hana mamlaka yoyote kikattiba ya kuwaambia eti Viongozi wa Saisa wakae chini kujadili tena Rasimu, Rasimu imeshaenda Bungeni imepitishwa na Wabunge wa Chadema na CCM, sasa inasubiri saini ya Rais iwe Muswaada na kujadiliwa na Wabunge,

- Labda nikukumbushe historia kidogo, kule USA ni Republicans ndio walioamua kupunguza mafao ya Marais wao kwa sababu ya wingi wao bungeni, na ni wao ndio walioamua kupunguza malipo ya welfare ya wananchi wao bila kujali uchache wa Democrats bungeni kwa sababu Sheria inasema ni majority ndio wenye uamuzi wa mwisho wa marekebisho ya sheria, CCM ndio wenye mamlaka ya mwisho kisheria ya jamhuri kuamua katiba mpya iweje sio Warioba na Chadema.

Le Mutuz
mutuz, ni rasimu ipi ilojadiliwa na cdm na maccm ambayo jk anatakiwa asaini? sbb twajua rasimu ya 2 jaji warioba hajaitoa.
 
- Hatuwezi kuongelea Rasimu wakati tayari imeshakuwa muswaada, alichosema Bulembo ni sawa sawa kwamba Warioba hakuteuliwa kuwaamulia wananchi maoni ya katiba na wala hakuambiwa kuwaelemisha maana katiba, alichotakiwa ni kukusanya tu maoni yao, Warioba kama mwananchi wa Tanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kuhusu katiba lakini hawezi kuyatoa akiwa ndani ya tume ni mpaka ajiuzulu kwanza, ndicho alichoambiwa na Bulembo na hakuna cha ajabu hapo wala utata.

- Narudia tena Warioba, ajiuzulu sasa kazi yake ya kamati ili awe Raia huru kama wengine wote ndio atoe maoni yake kuhusu KAtiba, hatuwezi kujadili Rasimu sasa maana tayari Rasimu ipo Bungeni inasubiri saini ya Rais twende kwa mbele.

Le Mutuz

Wewe kama nani mpaka umtake Warioba ajiuluzu.Kwanza unajua nini kuhusu mambo ya Katiba wewe?Ni bora ukafunga mdomo wako tumechoka na mashudu yako,Mtu gani wewe...Akili hata haikomai...Watu kama nyinyi ni hasara kabisa katika Taifa hili!!!
 
Tz sio ya warioba, wala yy hana mamlaka ya kuwasemea watz.
Warioba hata akifa leo ni shujaa,katukomboa watanzania kwa rasmu yenye matakwa ya watanzania na hajaangalia manyang'au walafu wa madaraka mafisadi wauaji wa ccm


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
- Sheria ipo wazi kwamba majority bungeni ndio wenye uamuzi wa mwisho wa marekebisho ya sheria ya jamhuri, CCM ndio tuna majority bungeni kwa hiyo sio Warioba, wala Chadema au CUF wenye uamuzi wa mwisho mnaweza kuitukana as much as you can lakini Sheria ni msumeno Warioba hana mamlaka kisheria kutuamulia katiba, ni vyema akajizulu tume sasa ili apate nafasi ya kutoa maoni yake kama raia.

Le Mutuz
Nisije nikaambiwa you can go to hell
 
mutuz, ni rasimu ipi ilojadiliwa na cdm na maccm ambayo jk anatakiwa asaini? sbb twajua rasimu ya 2 jaji warioba hajaitoa.

- Rasimu ya Katiba kwanza ilikuwa ni kukusanya maoni ya Wananchi ndio iliyokuwa kazi ya Warioba sio kutuambia maoni yake, maoni yameenda bungeni yakawa muswaada ambao sasa unasubiri saini ya Rais, next stage ni kuchambuliwa baadaye yatarudi tena bungeni hapo hapo ambapo CCM tupo wengi sana kama Sheria inavyosema tuna haki ya kuamua KAtiba mpya bila Chadema wala Warioba.

Le Mutuz
 
Warioba hata akifa leo ni shujaa,katukomboa watanzania kwa rasmu yenye matakwa ya watanzania na hajaangalia manyang'au walafu wa madaraka mafisadi wauaji wa ccm


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

- ha! ha! vipi Barrick Gold? ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Rasimu hado haijawa hicho kinachoitwa Muswada. Na ile ilyotolewa haiendi Bungeni, itakayoenda ni ile inayoboreshwa sasa kwa kutumia maoni ya Mabaraza.
 
Wewe kama nani mpaka umtake Warioba ajiuluzu.Kwanza unajua nini kuhusu mambo ya Katiba wewe?Ni bora ukafunga mdomo wako tumechoka na mashudu yako,Mtu gani wewe...Akili hata haikomai...Watu kama nyinyi ni hasara kabisa katika Taifa hili!!!

- Kisheria Warioba hana haki zaidi yangu na wewe ni mwananchi tu wa kawaida ndio maana hana mamlaka ya kuamua Katiba mpya ni CCM yenye Wabunge wengi bungeni yenye hayo mamlaka,

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom