Mnawapataje sasa?Turudie uchaguzi maana tumejifunza kwa gharama kubwa mno.Tufanyeni kuwa kuna kasiro kubwa zimejiri,lipelekwe azimio bungeni kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya then tufanye Uchaguzi Mkuu upya kwa Katiba hiyo Mpya.Mkuu mimi ni uvccm taifa, lakni hata hivyo nafaham umuhim wa upinzani katika serikali, so kiukweli wapinzani wananafasi yao katika serikali na taifa kwa ujumla
Kama wanathubutu kulinda mkate wao basi wametusaliti.Misingi ya Taifa inayosiginwa leo ni hao Wazee/waasisi ndiyo waliiweka.Je,wanapovumilia inapovurugwa tuwape jina gani?Hao wanaoharibu na kuivunja Katiba wapo juu ya sheria.Tuwape na jina wanalostahili kuitwa.Jamani huyu Mzee amepiga kelele sana tangu kwenye Rasimu yake ya Katiba! Nadhani moja ya maeneo ambayo yaliguswa na Rasimu yake ni marekebisho ya Tume ya Uchaguzi.Tusisahau jinsi mzee alivyoshambuliwa na genge lililoongozwa na Bashite!
Mimi nadahani si kwamba Wazee wa nchi hawayaoni haya ambayo yanaendelea katika Taifa letu chini ya utawala huu,wanayaona lakini kwa umri wao lazima waogope kwa sababu ya kulinda mkate wao.
Huyo mzee ni tapeli mkuuWewe wa hovyo sana mzee
Hata haeleweki ana simammia nn hapa. Yupo kama mshipa/busha mbele hayupo nyuma hayupoHuyo mzee ni tapeli mkuu
Uislam unasema ukiona jambo baya liondoe kwa mkono wako, kama huwezi liondoe kwa mdomo wako na pia kwa mdomo kama ni gumu lichukie moyoni, mzee wa watu ametimiza wajibu wake mwacheni, ndugai alipiga biti vyombo vya habari viache kuwafuata wastaafu eti mambo yamebadilikaHahahhaaa yani upinzani mtazalauriwa na kukejeliwa mpaka lini??😂😂 yani warioba ndo ameona jana vitendo hivi??
Hii inaonyesha ni jinsi gani mnavyokejeliwa na serikali 😂😂😂
Aibu tupuHata haeleweki ana simammia nn hapa. Yupo kama mshipa/busha mbele hayupo nyuma hayupo
Huyu mzee sijui ataacha lini kumaliza kuvuta bunda za sigara
Jaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu.
Ameishangaa kuengua wagombea wa vyama mbalimbali bila kuzingatia katiba badala yake kutumia vigezo dhaifu ktk kumuengua mgombea.
Ameishauri tume kufwata utaratibu mpya badala utaratibu huu Usiokua wa haki.
Pamoja na hayo ameshangaa kuona viongozi wa kisiasa wanashindwa kukaa pamoja kwa ajili ya Taifa badala yake wametanguliza ubinafsi, tamaa ya madaraka na itikadi.
Amewashauri kuachana na itikadi za vyama vyao badala yake waliangalie Taifa.
Ameyasema hayo ktk maadhimisho ya haki za Binadamu Duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Huyu ni Kiongozi wa kwanza mstaafu ambae ameishaanza kuona madhaifu yetu kama nchi ambayo yanaweza kutupeleka kubaya kama nchi na hivyo kutoa tahadhari.
Amevunja ukimya na kujionesha utofauti wake na wengine ambao ni wazalendo maslahi ambao kazi yao kubwa ni kusifu na kuabudu ili kulinda matumbo yao na familia zao.
Yeye ni miongoni mwa watu muhimu anatakiwa akemee kabla ya kuleta madhara hizo ni hadithi.Hayawezi kubadilika kivipi, kwani huu Uchaguzi ni wa mwisho,kwani Rais Magufuli ni wa milele, kwani Tanzania ndio inaisha baada ya huu utawala....Mzee ameongea maneno ambayo yataishi vizazi na vizazi..hajawaza tumbo lake amewaza hatma ya Taifa letu.
Mzee Mwinyi anatia aibu, HANA kabisa uwezo kulisemea taifa. Na hivi keshakamilisha biashara ya mwanae, ndio basi tena.Asante mzee Warioba, natamani wazee wenye hekima walisemee taifa.Bado tuna nafasi kurekebisha tulipo jikwaa.
Alikuwa wapi siku zote?
Jaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu.
Ameishangaa kuengua wagombea wa vyama mbalimbali bila kuzingatia katiba badala yake kutumia vigezo dhaifu ktk kumuengua mgombea.
Ameishauri tume kufwata utaratibu mpya badala utaratibu huu Usiokua wa haki.
Pamoja na hayo ameshangaa kuona viongozi wa kisiasa wanashindwa kukaa pamoja kwa ajili ya Taifa badala yake wametanguliza ubinafsi, tamaa ya madaraka na itikadi.
Amewashauri kuachana na itikadi za vyama vyao badala yake waliangalie Taifa.
Ameyasema hayo ktk maadhimisho ya haki za Binadamu Duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Huyu ni Kiongozi wa kwanza mstaafu ambae ameishaanza kuona madhaifu yetu kama nchi ambayo yanaweza kutupeleka kubaya kama nchi na hivyo kutoa tahadhari.
Amevunja ukimya na kujionesha utofauti wake na wengine ambao ni wazalendo maslahi ambao kazi yao kubwa ni kusifu na kuabudu ili kulinda matumbo yao na familia zao.
At last amejitokeza kiongozi mwenye ujasiri wa kuuambia uongozi uliopo ukweli kuhusu mambo yanavyoenda hovyo kama gari inayoendeshwa na mlevi. NEC imejaa watu waliobobea kwenye sheria lakini vitendo na maamuzi hayakuonyesha hubobezi huo.Maneno yanasaidia nini?...chaguzi zipo hawataongea mpaka uchaguzi upite so maneno yao ni useless
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Labda kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa uchaguzi mkuu ulikuwa bado. Huenda alijipa matumaini kuwa yasingejirudia kwenye uchaguzi mkuu kutokana na jinsi ulivyosheheni wanasheriaAlikuwa wapi muda wote hayo maneno angesema mwezi wa tisa.
Haswa kwa kila anayetoa kauli ya kupinga kupelekwa kwenye nchi isiyofuata sheria tumuongezee kauli zetu ili asijione yupo peke yake.Huo ndio ukweli tusiangalie matokeo sisi tuendelee kupiga kelele kwani maisha hayajasimama
Mwambieni aendelee kushangaa.
Jaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu.
Ameishangaa kuengua wagombea wa vyama mbalimbali bila kuzingatia katiba badala yake kutumia vigezo dhaifu ktk kumuengua mgombea.
Ameishauri tume kufwata utaratibu mpya badala utaratibu huu Usiokua wa haki.
Pamoja na hayo ameshangaa kuona viongozi wa kisiasa wanashindwa kukaa pamoja kwa ajili ya Taifa badala yake wametanguliza ubinafsi, tamaa ya madaraka na itikadi.
Amewashauri kuachana na itikadi za vyama vyao badala yake waliangalie Taifa.
Ameyasema hayo ktk maadhimisho ya haki za Binadamu Duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Huyu ni Kiongozi wa kwanza mstaafu ambae ameishaanza kuona madhaifu yetu kama nchi ambayo yanaweza kutupeleka kubaya kama nchi na hivyo kutoa tahadhari.
Amevunja ukimya na kujionesha utofauti wake na wengine ambao ni wazalendo maslahi ambao kazi yao kubwa ni kusifu na kuabudu ili kulinda matumbo yao na familia zao.
Jaji Joseph Sinde Warioba ameishangaa tume ya uchaguzi ya Tanzania kwa kitendo chake cha kuengua wagombea wa vyama mbalimbali vya upinzani bila kufwata utaratibu.
Ameishangaa kuengua wagombea wa vyama mbalimbali bila kuzingatia katiba badala yake kutumia vigezo dhaifu ktk kumuengua mgombea.
Ameishauri tume kufwata utaratibu mpya badala utaratibu huu Usiokua wa haki.
Pamoja na hayo ameshangaa kuona viongozi wa kisiasa wanashindwa kukaa pamoja kwa ajili ya Taifa badala yake wametanguliza ubinafsi, tamaa ya madaraka na itikadi.
Amewashauri kuachana na itikadi za vyama vyao badala yake waliangalie Taifa.
Ameyasema hayo ktk maadhimisho ya haki za Binadamu Duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Huyu ni Kiongozi wa kwanza mstaafu ambae ameishaanza kuona madhaifu yetu kama nchi ambayo yanaweza kutupeleka kubaya kama nchi na hivyo kutoa tahadhari.
Amevunja ukimya na kujionesha utofauti wake na wengine ambao ni wazalendo maslahi ambao kazi yao kubwa ni kusifu na kuabudu ili kulinda matumbo yao na familia zao.
Ukumbuke yeye ndie alieandaa mchakato wa katiba mpya eti.Tatizo unafiki si mkweii hakusema hivi mapema aijua mwanaye anapewa madaraka sasa ameona hamna kitu anajitokeza utazana anatupenda kweii. Katiba ya nchi inavunja wako kimya ii watoto wao wapewe vyeo.