"Jaji Mwenzangu Luvanda" Machozi ya samaki majini hayatakufikia wewe na kizazi chako mpaka cha nne, tekeleza maagizo

Kama Kuna sehemu amekosea kimaamuzi kwa Kuzingatia Sheria yetu tunaomba wanasheria muliopo kwenye jukwaa mtiririke. Kama hakuna tumuache afanye kazi yake
 
Kwanini ‘Jaji wa Kimkakati’ Elinaza Luvanda anasikiliza kesi ya Mbowe?

Hana hatia, huenda anatekeleza maagizo toka juu kama ilivyo kwa Msajili /Registrar Simba wa Mahakama kuu amewekwa Kisutu kwa mikakati maalum.

JUZI Jaji Elinaza Luvanda alitupilia mbali pingamizi la awali ambalo lilikuwa limewekwa na mawakili wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema.

Uamuzi wa Jaji Luvanda, umesababisha baadhi ya watu kutaka kumjua yeye ni nani, na imekuwaje akawa msimamizi wa Mahakama Kuu Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. SAUTI KUBWAi imefuatilia na inayo machache ya kueleza kuhusu wasifu wa Jaji Luvanda katika kesi za aina hii – “kesi za kimkakati” zinazofunguliwa na dola.

Kwa kifupi, huyu ndiye Jaji Elinaza Luvanda:

Mwaka 2017, Elinaza Luvanda alikuwa katibu wa Kaimu Jaji Mkuu, Jaji Ferdinand Wambari.
Mwaka 2018, aliteuliwa kuwa mjumbe kwenye Menejimenti ya Mahakama ya Tanzania hadi Rais John Magufuli alipomteua kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Mwaka 2021, Jaji Luvanda aliwahukumu kifungo cha maisha Shamim Mwasha na mkewe kwa makosa ya mihadarati.

Mwaka 2020, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu ambao walikuwa na kesi ya Addo Shaibu dhidi ya Jamhuri kuhusu kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Adelardus Kilangi.

Mwaka 2021, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu waliosikiliza kesi ya Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) – kesi ya kikatiba dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mwaka 2019, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu katika kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Spika Job Ndugai na Mwanasheria Mkuu wa Serikali – kesi ya sakata la CAG Assad kuhojiwa na Kamati ya maadili ya Bunge.

asante hisani Ngurumo

Mwaka 2019, kesi ya madai ya sh.bilioni 10 ya Bernard Membe dhidi ya Musiba, ilianzia kwa Jaji Luvanda kabla hajahamishiwa Mahakama ya Ardhi na hivyo kesi ikapangwa Jaji De Melo.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda aliwahukumu Anitha Oswald (mfanyakazi wa PPF Moshi) na Frank Moshi (dereva wa teksi) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la mihadarati.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda alitoa uamuzi wa kutaifisha Tsh.16.7 bilioni kuwa mali ya Serikali baada ya DPP Biswalo Mganga kuwasilisha ombi mahakamani kuwa washitakiwa waliokuwa na kosa la upatu hawakuwahi kufika mahakamani tangu kesi ilipoanza. Washitakiwa walikuwa ni kampuni ya IMS Marketing Tanzania.
Ukiunganisha matukio haya na hukumu ambazo Jaji Luvanda ametoa, hatua kwa hatua, unaweza kuona kuwa huyu ni “jaji wa kimkakati” ambaye amekuwa anapewa kusikiliza kesi za kimkakati. Sasa anasikiliza kesi nyingine ya kimkakati inayomkabili Mbowe na wenzake watatu.

Wachambuzi na wachunguzi wetu wanaendelea kumulika mwenendo wa kesi hii na Jaji Luvanda.
Mnataka katiba mpya, haki na uhuru huku mnatisha majaji- HOVYO
 
Mnataka katiba mpya, haki na uhuru huku mnatisha majaji- HOVYO
kakojoleshwe ulale, wewe umeona mtu anatisjw hapo au anakumbushwa damu ya watu italia mpaka kizazi cha ne? hayo ni maandiko yapo ki biblia ambapo Luvanda ni mkristo na hayo maneno hayabaki bure.
 
kakojoleshwe ulale, wewe umeona mtu anatisjw hapo au anakumbushwa damu ya watu italia mpaka kizazi cha ne? hayo ni maandiko yapo ki biblia ambapo Luvanda ni mkristo na hayo maneno hayabaki bure.
Ndiyo kutisha kwenyewe huko- nyie msubirieni ale mvua za kutosha- malipo ni hapa hapa duniani.
 
Mahakama inaanza kuingiliwa na mbwa wa Mbowe. Acheni kubweka hovyo, huyo ni Jaji na majukumu yake ni kusikiliza kesi na kutoa uamuzi. Msiipangie mahakama jaji yupi anafaa kusikiliza kesi ya nani? Hizo ni dalili za kuona mnashindwa hiyo kesi, na huyo Mwenyekiti wenu lazima anyee debe.

Kama nyinyi mnamuona Mbowe ni mtu special sana kwamba inabidi atafutiwe jaji wa kipekee, basi jamhuri inamuona kama washtakiwa wengine wa wizi wa kuku n.k.
Sasa wewe unaposema lazima anyee debe mbona na wewe umeshaamua kesi kabla hata haijasikilizwa.

Inaonekana hii kesi kweli ni ya kimkakati na tayari iliishaamuliwa kitambo na yanayofanyika ni Window Dressing tu kwani Tanzania ya sasa huwezi kutenganisha mahakama na serikali.

Mwl Nyerere alileta sheria ya kuweka watu kizuizini baada ya kuona majaji wa wakati huo wakiachilia watuhumiwa wa vyesi vinavyobumbwa na serikali kwa kukosa ushahidi kitu ambacho majaji wa leo hawawezi kuthubutu kukifanya kwa sababu ujaji leo unatolewa kama fadhila na wala sio kwa weledi.
 
Kwanini ‘Jaji wa Kimkakati’ Elinaza Luvanda anasikiliza kesi ya Mbowe?

Hana hatia, huenda anatekeleza maagizo toka juu kama ilivyo kwa Msajili /Registrar Simba wa Mahakama kuu amewekwa Kisutu kwa mikakati maalum.

Juzi Jaji Elinaza Luvanda alitupilia mbali pingamizi la awali ambalo lilikuwa limewekwa na mawakili wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema.

Uamuzi wa Jaji Luvanda, umesababisha baadhi ya watu kutaka kumjua yeye ni nani, na imekuwaje akawa msimamizi wa Mahakama Kuu Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. SAUTI KUBWAi imefuatilia na inayo machache ya kueleza kuhusu wasifu wa Jaji Luvanda katika kesi za aina hii – “kesi za kimkakati” zinazofunguliwa na dola.

Kwa kifupi, huyu ndiye Jaji Elinaza Luvanda:

Mwaka 2017, Elinaza Luvanda alikuwa katibu wa Kaimu Jaji Mkuu, Jaji Ferdinand Wambari.
Mwaka 2018, aliteuliwa kuwa mjumbe kwenye Menejimenti ya Mahakama ya Tanzania hadi Rais John Magufuli alipomteua kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Mwaka 2021, Jaji Luvanda aliwahukumu kifungo cha maisha Shamim Mwasha na mkewe kwa makosa ya mihadarati.

Mwaka 2020, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu ambao walikuwa na kesi ya Addo Shaibu dhidi ya Jamhuri kuhusu kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Adelardus Kilangi.

Mwaka 2021, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu waliosikiliza kesi ya Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) – kesi ya kikatiba dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mwaka 2019, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu katika kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Spika Job Ndugai na Mwanasheria Mkuu wa Serikali – kesi ya sakata la CAG Assad kuhojiwa na Kamati ya maadili ya Bunge.

asante hisani Ngurumo

Mwaka 2019, kesi ya madai ya sh.bilioni 10 ya Bernard Membe dhidi ya Musiba, ilianzia kwa Jaji Luvanda kabla hajahamishiwa Mahakama ya Ardhi na hivyo kesi ikapangwa Jaji De Melo.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda aliwahukumu Anitha Oswald (mfanyakazi wa PPF Moshi) na Frank Moshi (dereva wa teksi) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la mihadarati.

Mwaka 2020, Jaji Luvanda alitoa uamuzi wa kutaifisha Tsh.16.7 bilioni kuwa mali ya Serikali baada ya DPP Biswalo Mganga kuwasilisha ombi mahakamani kuwa washitakiwa waliokuwa na kosa la UPATU hawakuwahi kufika mahakamani tangu kesi ilipoanza. Washitakiwa walikuwa ni kampuni ya IMS Marketing Tanzania.

Ukiunganisha matukio haya na hukumu ambazo Jaji Luvanda ametoa, hatua kwa hatua, unaweza kuona kuwa huyu ni “jaji wa kimkakati” ambaye amekuwa anapewa kusikiliza kesi za kimkakati. Sasa anasikiliza kesi nyingine ya kimkakati inayomkabili Mbowe na wenzake watatu.

Wachambuzi na wachunguzi wetu wanaendelea kumulika mwenendo wa kesi hii na Jaji Luvanda.

Mkuuu huwezi kutoka nje na moyo na mwelekeo yako. Uko very biased and that’s an intellectual suicide. Na mimi nisiyekujua naweza kuwa prejudiced na kukuona kuwa wewe Ni CHadema au pro Mbowe egal Where truth lies.

Mko wengi sana humu JF na Sasa huwezi tofautisha JF na vikundi vya vyama vya siasa. Hakuna kati yenu anayependa kutoka nje ya mlengo Wake na kuwa objective. We have the Know all.
 
Hivi huwa hairuhusiwi kumkataa Jaji au Hakimu kwa kutokuwa na Imani nae?
 
Kwanini ‘Jaji wa Kimkakati’ Elinaza Luvanda anasikiliza kesi ya Mbowe?

Hana hatia, huenda anatekeleza maagizo toka juu kama ilivyo kwa Msajili /Registrar Simba wa Mahakama kuu amewekwa Kisutu kwa mikakati maalum.

Juzi Jaji Elinaza Luvanda alitupilia mbali pingamizi la awali ambalo lilikuwa limewekwa na mawakili wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema.

Uamuzi wa Jaji Luvanda, umesababisha baadhi ya watu kutaka kumjua yeye ni nani, na imekuwaje akawa msimamizi wa Mahakama Kuu Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. SAUTI KUBWAi imefuatilia na inayo machache ya kueleza kuhusu wasifu wa Jaji Luvanda katika kesi za aina hii – “kesi za kimkakati” zinazofunguliwa na dola.

Kwa kifupi, huyu ndiye Jaji Elinaza Luvanda:

Mwaka 2017, Elinaza Luvanda alikuwa katibu wa Kaimu Jaji Mkuu, Jaji Ferdinand Wambari.
Mwaka 2018, aliteuliwa kuwa mjumbe kwenye Menejimenti ya Mahakama ya Tanzania hadi Rais John Magufuli alipomteua kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Mwaka 2021, Jaji Luvanda aliwahukumu kifungo cha maisha Shamim Mwasha na mkewe kwa makosa ya mihadarati.

Mwaka 2020, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu ambao walikuwa na kesi ya Addo Shaibu dhidi ya Jamhuri kuhusu kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Adelardus Kilangi.

Mwaka 2021, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu waliosikiliza kesi ya Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) – kesi ya kikatiba dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mwaka 2019, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu katika kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Spika Job Ndugai na Mwanasheria Mkuu wa Serikali – kesi ya sakata la CAG Assad kuhojiwa na Kamati ya maadili ya Bunge.

asante hisani Ngurumo

Mwaka 2019, kesi ya madai ya sh.bilioni 10 ya Bernard Membe dhidi ya Musiba, ilianzia kwa Jaji Luvanda kabla hajahamishiwa Mahakama ya Ardhi na hivyo kesi ikapangwa Jaji De Melo.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda aliwahukumu Anitha Oswald (mfanyakazi wa PPF Moshi) na Frank Moshi (dereva wa teksi) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la mihadarati.

Mwaka 2020, Jaji Luvanda alitoa uamuzi wa kutaifisha Tsh.16.7 bilioni kuwa mali ya Serikali baada ya DPP Biswalo Mganga kuwasilisha ombi mahakamani kuwa washitakiwa waliokuwa na kosa la UPATU hawakuwahi kufika mahakamani tangu kesi ilipoanza. Washitakiwa walikuwa ni kampuni ya IMS Marketing Tanzania.

Ukiunganisha matukio haya na hukumu ambazo Jaji Luvanda ametoa, hatua kwa hatua, unaweza kuona kuwa huyu ni “jaji wa kimkakati” ambaye amekuwa anapewa kusikiliza kesi za kimkakati. Sasa anasikiliza kesi nyingine ya kimkakati inayomkabili Mbowe na wenzake watatu.

Wachambuzi na wachunguzi wetu wanaendelea kumulika mwenendo wa kesi hii na Jaji Luvanda.
Duuuh kumbe wewe ni jaji kweli ?!!

Basi huko mahakamani utakuwa unawaonea watu sana wasio wa imani yako.....

Maandiko yako humu ndani yanaonesha hayo.....

Waafrika tuna safari ndefu sana ya kwenda....mmmh yaani Jaji huwa unajaa ubaguzi juu ya wengine hatari sana.....

Kizazi kijacho hakitakuwa na mihemko ya ubaguzi wa kidini ya hizo dini zilizokuja kutoka ughaibuni....

#AgainstHate
#AgainstBigotry
#AgainstRacism
#AgainstRadicalism
#AgainstAntiSemitism

#NchiKwanza
#SiempreJMT
 
Sijaona kitu humo kuunganisha chochote cha "mkakati".
Babu yangu alikuwa na usemi "pamoja na kunitolea mimacho yako kama bulb bado umeshindwa kuniona".... Ulinichukua muda mrefu sana Kumuelewa...
 
Kwa sasa wanacho kifanya Wafuasi wa Mbowe na Viongozi ni kuishinikiza Mahakama ili iamue kesi ya Mbowe kwa Matakwa yao.
ni vyema Majaji wakawa na msimamo, kamwe wasikubali kuyumbishwa na maneno ya wahuni wachache.
Wafuasi wa Mbowe wao wanaamini kuwa Haki itakuwa imetendela pale tu Mbowe atakapo achiwa huru, ikiwa hivyo basi wataimba nyimbo za kupamba na kusifia, kinyume chake watazua uzushi na matusi.
Chonde chonde Mahakama kamwe zisiyumbushwe na maneno ya ovyo ya hawa wahuni wa Chadema ambao lengo lao ni kuichafua nchi na vyombo vyake.
Lengo la Chadema ni kuchafua nchi na vyombo vyote;
wanalichafua Jeshi la Polisi, DPP, na sasa Mahakama, tusipo washughulikia hawa wahuni watatukojolea kichwani.
Amani na Heshima yetu lazima ilindwe kwa gharama yoyote ile.
tusiwaache na huu uhuni wa kushinikiza matakwa yao na wanapo fanikiwa wanawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
nyoka ndumila kuwili kabisa. gonga kichwa usigonge mkia.
 
Back
Top Bottom