Mnataka katiba mpya, haki na uhuru huku mnatisha majaji- HOVYOKwanini ‘Jaji wa Kimkakati’ Elinaza Luvanda anasikiliza kesi ya Mbowe?
Hana hatia, huenda anatekeleza maagizo toka juu kama ilivyo kwa Msajili /Registrar Simba wa Mahakama kuu amewekwa Kisutu kwa mikakati maalum.
JUZI Jaji Elinaza Luvanda alitupilia mbali pingamizi la awali ambalo lilikuwa limewekwa na mawakili wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema.
Uamuzi wa Jaji Luvanda, umesababisha baadhi ya watu kutaka kumjua yeye ni nani, na imekuwaje akawa msimamizi wa Mahakama Kuu Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. SAUTI KUBWAi imefuatilia na inayo machache ya kueleza kuhusu wasifu wa Jaji Luvanda katika kesi za aina hii – “kesi za kimkakati” zinazofunguliwa na dola.
Kwa kifupi, huyu ndiye Jaji Elinaza Luvanda:
Mwaka 2017, Elinaza Luvanda alikuwa katibu wa Kaimu Jaji Mkuu, Jaji Ferdinand Wambari.
Mwaka 2018, aliteuliwa kuwa mjumbe kwenye Menejimenti ya Mahakama ya Tanzania hadi Rais John Magufuli alipomteua kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Mwaka 2021, Jaji Luvanda aliwahukumu kifungo cha maisha Shamim Mwasha na mkewe kwa makosa ya mihadarati.
Mwaka 2020, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu ambao walikuwa na kesi ya Addo Shaibu dhidi ya Jamhuri kuhusu kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Adelardus Kilangi.
Mwaka 2021, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu waliosikiliza kesi ya Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) – kesi ya kikatiba dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Mwaka 2019, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu katika kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Spika Job Ndugai na Mwanasheria Mkuu wa Serikali – kesi ya sakata la CAG Assad kuhojiwa na Kamati ya maadili ya Bunge.
asante hisani Ngurumo
Mwaka 2019, kesi ya madai ya sh.bilioni 10 ya Bernard Membe dhidi ya Musiba, ilianzia kwa Jaji Luvanda kabla hajahamishiwa Mahakama ya Ardhi na hivyo kesi ikapangwa Jaji De Melo.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda aliwahukumu Anitha Oswald (mfanyakazi wa PPF Moshi) na Frank Moshi (dereva wa teksi) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la mihadarati.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda alitoa uamuzi wa kutaifisha Tsh.16.7 bilioni kuwa mali ya Serikali baada ya DPP Biswalo Mganga kuwasilisha ombi mahakamani kuwa washitakiwa waliokuwa na kosa la upatu hawakuwahi kufika mahakamani tangu kesi ilipoanza. Washitakiwa walikuwa ni kampuni ya IMS Marketing Tanzania.
Ukiunganisha matukio haya na hukumu ambazo Jaji Luvanda ametoa, hatua kwa hatua, unaweza kuona kuwa huyu ni “jaji wa kimkakati” ambaye amekuwa anapewa kusikiliza kesi za kimkakati. Sasa anasikiliza kesi nyingine ya kimkakati inayomkabili Mbowe na wenzake watatu.
Wachambuzi na wachunguzi wetu wanaendelea kumulika mwenendo wa kesi hii na Jaji Luvanda.
watachuma lakini hawatakulaMwisho wa hao watu huwa wa majonzi na majuto; pesa nyingi huwa nazo, ila huwa zinapukutika tu mara wanapoondoka kwa majonzi
kakojoleshwe ulale, wewe umeona mtu anatisjw hapo au anakumbushwa damu ya watu italia mpaka kizazi cha ne? hayo ni maandiko yapo ki biblia ambapo Luvanda ni mkristo na hayo maneno hayabaki bure.Mnataka katiba mpya, haki na uhuru huku mnatisha majaji- HOVYO
kama HAKIMU LION pale kisutuKweli huyo Luvanda yuko kazi mbili mbili ,....
Ndiyo kutisha kwenyewe huko- nyie msubirieni ale mvua za kutosha- malipo ni hapa hapa duniani.kakojoleshwe ulale, wewe umeona mtu anatisjw hapo au anakumbushwa damu ya watu italia mpaka kizazi cha ne? hayo ni maandiko yapo ki biblia ambapo Luvanda ni mkristo na hayo maneno hayabaki bure.
Sasa wewe unaposema lazima anyee debe mbona na wewe umeshaamua kesi kabla hata haijasikilizwa.Mahakama inaanza kuingiliwa na mbwa wa Mbowe. Acheni kubweka hovyo, huyo ni Jaji na majukumu yake ni kusikiliza kesi na kutoa uamuzi. Msiipangie mahakama jaji yupi anafaa kusikiliza kesi ya nani? Hizo ni dalili za kuona mnashindwa hiyo kesi, na huyo Mwenyekiti wenu lazima anyee debe.
Kama nyinyi mnamuona Mbowe ni mtu special sana kwamba inabidi atafutiwe jaji wa kipekee, basi jamhuri inamuona kama washtakiwa wengine wa wizi wa kuku n.k.
Mungu asimame na CHADEMA?Inajulikana sana kuwa ni jaji anaepangwa ili kutekeleza MATAKWA ya serikali ya ccm.
Acha aendelee kumtumikia shetani ila nae hukumu yake ipo kwa Mungu wa haki.
Kwanini ‘Jaji wa Kimkakati’ Elinaza Luvanda anasikiliza kesi ya Mbowe?
Hana hatia, huenda anatekeleza maagizo toka juu kama ilivyo kwa Msajili /Registrar Simba wa Mahakama kuu amewekwa Kisutu kwa mikakati maalum.
Juzi Jaji Elinaza Luvanda alitupilia mbali pingamizi la awali ambalo lilikuwa limewekwa na mawakili wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema.
Uamuzi wa Jaji Luvanda, umesababisha baadhi ya watu kutaka kumjua yeye ni nani, na imekuwaje akawa msimamizi wa Mahakama Kuu Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. SAUTI KUBWAi imefuatilia na inayo machache ya kueleza kuhusu wasifu wa Jaji Luvanda katika kesi za aina hii – “kesi za kimkakati” zinazofunguliwa na dola.
Kwa kifupi, huyu ndiye Jaji Elinaza Luvanda:
Mwaka 2017, Elinaza Luvanda alikuwa katibu wa Kaimu Jaji Mkuu, Jaji Ferdinand Wambari.
Mwaka 2018, aliteuliwa kuwa mjumbe kwenye Menejimenti ya Mahakama ya Tanzania hadi Rais John Magufuli alipomteua kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Mwaka 2021, Jaji Luvanda aliwahukumu kifungo cha maisha Shamim Mwasha na mkewe kwa makosa ya mihadarati.
Mwaka 2020, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu ambao walikuwa na kesi ya Addo Shaibu dhidi ya Jamhuri kuhusu kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Adelardus Kilangi.
Mwaka 2021, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu waliosikiliza kesi ya Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) – kesi ya kikatiba dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Mwaka 2019, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu katika kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Spika Job Ndugai na Mwanasheria Mkuu wa Serikali – kesi ya sakata la CAG Assad kuhojiwa na Kamati ya maadili ya Bunge.
asante hisani Ngurumo
Mwaka 2019, kesi ya madai ya sh.bilioni 10 ya Bernard Membe dhidi ya Musiba, ilianzia kwa Jaji Luvanda kabla hajahamishiwa Mahakama ya Ardhi na hivyo kesi ikapangwa Jaji De Melo.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda aliwahukumu Anitha Oswald (mfanyakazi wa PPF Moshi) na Frank Moshi (dereva wa teksi) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la mihadarati.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda alitoa uamuzi wa kutaifisha Tsh.16.7 bilioni kuwa mali ya Serikali baada ya DPP Biswalo Mganga kuwasilisha ombi mahakamani kuwa washitakiwa waliokuwa na kosa la UPATU hawakuwahi kufika mahakamani tangu kesi ilipoanza. Washitakiwa walikuwa ni kampuni ya IMS Marketing Tanzania.
Ukiunganisha matukio haya na hukumu ambazo Jaji Luvanda ametoa, hatua kwa hatua, unaweza kuona kuwa huyu ni “jaji wa kimkakati” ambaye amekuwa anapewa kusikiliza kesi za kimkakati. Sasa anasikiliza kesi nyingine ya kimkakati inayomkabili Mbowe na wenzake watatu.
Wachambuzi na wachunguzi wetu wanaendelea kumulika mwenendo wa kesi hii na Jaji Luvanda.
Mungu asimame na CHADEMA?
Hawezi rudiTundu Lisu arudi kuungana na jopo la mawakili 14 wa utetezi!
Wanapiga kelele sanaSijaona kitu humo kuunganisha chochote cha "mkakati".
Duuuh kumbe wewe ni jaji kweli ?!!Kwanini ‘Jaji wa Kimkakati’ Elinaza Luvanda anasikiliza kesi ya Mbowe?
Hana hatia, huenda anatekeleza maagizo toka juu kama ilivyo kwa Msajili /Registrar Simba wa Mahakama kuu amewekwa Kisutu kwa mikakati maalum.
Juzi Jaji Elinaza Luvanda alitupilia mbali pingamizi la awali ambalo lilikuwa limewekwa na mawakili wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema.
Uamuzi wa Jaji Luvanda, umesababisha baadhi ya watu kutaka kumjua yeye ni nani, na imekuwaje akawa msimamizi wa Mahakama Kuu Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. SAUTI KUBWAi imefuatilia na inayo machache ya kueleza kuhusu wasifu wa Jaji Luvanda katika kesi za aina hii – “kesi za kimkakati” zinazofunguliwa na dola.
Kwa kifupi, huyu ndiye Jaji Elinaza Luvanda:
Mwaka 2017, Elinaza Luvanda alikuwa katibu wa Kaimu Jaji Mkuu, Jaji Ferdinand Wambari.
Mwaka 2018, aliteuliwa kuwa mjumbe kwenye Menejimenti ya Mahakama ya Tanzania hadi Rais John Magufuli alipomteua kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Mwaka 2021, Jaji Luvanda aliwahukumu kifungo cha maisha Shamim Mwasha na mkewe kwa makosa ya mihadarati.
Mwaka 2020, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu ambao walikuwa na kesi ya Addo Shaibu dhidi ya Jamhuri kuhusu kupinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Adelardus Kilangi.
Mwaka 2021, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu waliosikiliza kesi ya Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) – kesi ya kikatiba dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Mwaka 2019, alikuwa miongoni mwa jopo la majaji watatu katika kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Spika Job Ndugai na Mwanasheria Mkuu wa Serikali – kesi ya sakata la CAG Assad kuhojiwa na Kamati ya maadili ya Bunge.
asante hisani Ngurumo
Mwaka 2019, kesi ya madai ya sh.bilioni 10 ya Bernard Membe dhidi ya Musiba, ilianzia kwa Jaji Luvanda kabla hajahamishiwa Mahakama ya Ardhi na hivyo kesi ikapangwa Jaji De Melo.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda aliwahukumu Anitha Oswald (mfanyakazi wa PPF Moshi) na Frank Moshi (dereva wa teksi) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la mihadarati.
Mwaka 2020, Jaji Luvanda alitoa uamuzi wa kutaifisha Tsh.16.7 bilioni kuwa mali ya Serikali baada ya DPP Biswalo Mganga kuwasilisha ombi mahakamani kuwa washitakiwa waliokuwa na kosa la UPATU hawakuwahi kufika mahakamani tangu kesi ilipoanza. Washitakiwa walikuwa ni kampuni ya IMS Marketing Tanzania.
Ukiunganisha matukio haya na hukumu ambazo Jaji Luvanda ametoa, hatua kwa hatua, unaweza kuona kuwa huyu ni “jaji wa kimkakati” ambaye amekuwa anapewa kusikiliza kesi za kimkakati. Sasa anasikiliza kesi nyingine ya kimkakati inayomkabili Mbowe na wenzake watatu.
Wachambuzi na wachunguzi wetu wanaendelea kumulika mwenendo wa kesi hii na Jaji Luvanda.
Babu yangu alikuwa na usemi "pamoja na kunitolea mimacho yako kama bulb bado umeshindwa kuniona".... Ulinichukua muda mrefu sana Kumuelewa...Sijaona kitu humo kuunganisha chochote cha "mkakati".