Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Afadhali ange-endelea kukaa kimya. Sijaona kama anawatetea wapinzani kupata haki zao wanaposhughulikiwa yeye huwa kimya. Leo mjomba tumemsikia wote halafu mwenzetu anatuambia TRANSFOMA zetu ni mbovu zimemuelewa mkuu visivyo. Yaani huyu hataki kuona kinachoendelea kwa wadau wake?