Viongozi wa CCM kwa sasa hawaoneshi tofauti ya kusoma na exposure wote kujipendekeza kwa kwenda mbele, weledi umewekwa kando. Hajulikani mwenye PhD kama Mwakyembe, Hajulikani std 7 kama Lusinde, hajulikani jaji kama Mutungi.
Kwa mwendo huu naanza kuona wasi wasi kuwa hata huko mahakamani majaji wenyewe hawa makada kama alivyotuonyesha jaji Bomani alipokuja kugombania kuteuliwa nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM, sijui kwa wapinzani watapata haki, hatimaye na sisi Tanzania tumepata Museveni wetu, hongera CCM
Kwa mwendo huu naanza kuona wasi wasi kuwa hata huko mahakamani majaji wenyewe hawa makada kama alivyotuonyesha jaji Bomani alipokuja kugombania kuteuliwa nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM, sijui kwa wapinzani watapata haki, hatimaye na sisi Tanzania tumepata Museveni wetu, hongera CCM