Jaji kesi ya Lema Arusha kashikishwa kitu na mafisadi?

Minong'ono na wasiwasi vimetanda katika jiji la Arusha juu ya jarada la hukumu kupinga ubunge wa Lema kuvujishwa. Inasemekana mh Lema ubunge wake utatenguliwa hapo kesho pindi hukumu yake itakaposomwa. Jambo la kujiuliza, je imekuaje taarifa hii kuvuja? Tunafahamu miiko na taratibu za kimahakama, mojawapo ni weledi na ufanisi katika kutoa haki pasi kuangalia kipato cha mtu. Mwenendo wa kesi hii ulivyokuwa kwa sisi na kila mwanazuoni wa fani ya sheria tayari imetoa mwangaza wa hukumu yenyewe itakavyokuwa. Sitaki kuingilia uhuru wa mahakama bali tofauti na hapo, itaibua mjadala mkali katika mhimili huu muhimu. Mungu bariki mahakama zetu, mungu bariki Tanzania.
 
Minong'ono na wasiwasi vimetanda katika jiji la Arusha juu ya jarada la hukumu kupinga ubunge wa Lema kuvujishwa. Inasemekana mh Lema ubunge wake utatenguliwa hapo kesho pindi hukumu yake itakaposomwa. Jambo la kujiuliza, je imekuaje taarifa hii kuvuja? Tunafahamu miiko na taratibu za kimahakama, mojawapo ni weledi na ufanisi katika kutoa haki pasi kuangalia kipato cha mtu. Mwenendo wa kesi hii ulivyokuwa kwa sisi na kila mwanazuoni wa fani ya sheria tayari imetoa mwangaza wa hukumu yenyewe itakavyokuwa. Sitaki kuingilia uhuru wa mahakama bali tofauti na hapo, itaibua mjadala mkali katika mhimili huu muhimu. Mungu bariki mahakama zetu, mungu bariki Tanzania.

ubunge kutenguliwa maana yake nini? kwamba mrs.lowasa anakuwa mbunge, au uchaguzi unarudiwa?
 
Dawa yao ni kujichukulia sheria mkononi, haiwezekani mahakama zetu zitumiwe kupindisha ukweli dhahiri kwa maslahi ya ccm.
 
Namshauri hakimu afute hii kesi haina mbele wala nyuma, mana toka vyama vingi vianze Arusha ni ngome ya upinzani. Waliokuwa wanashinda kipindi kile ni kwa kuchakachua sasa tunajua kulinda kura zetu. Kutengua matokeo yaliyomuweka kamanda madarakani ni kufuja hela za walipa kodi na kupoteza muda, Arachuga ni ngome ya peopleees ......
 
Dawa yao ni kujichukulia sheria mkononi, haiwezekani mahakama zetu zitumiwe kwa maslahi ccm.

wangekuwa na akili wasingefikiria, japo kufikiria tu, kutengue ubunge wa kiongozi wa watu wa arusha. kuna sehemu wanaweza kufanya upuuzi huo na wakaachwa tu, cyo sehemu kama Arusha.

hawa jamaa hawajifunzi kabisa inaelekea.
 
Nyie watu wa ccm jifurahisheni maana si tumesha wapiga kwenye uchaguzi arumeru sads mmegeukia maswala msyoyajua: nawaambieni sasa hata mahakamani tutaibuka kidedea, watu zaidi elf 57 waliomchagua Lema siyo wajinga, eti wafutiwe mbunge wao kwa issue za kihuni, huyo jaji athubutu aone!

Namchukia sana huyu EL na harakati zake za ku force king. Arusha is 4 CDM hata kama Kamanda Lema atapigwa chini kihuni huni.
 
Inavyoonekana hakuna hata mmoja wenu aliekoment anyejua uhuru wa mahakama nini, mahakama haihukumu kishabiki, wala usitegemee unachokiwaza pekee kitendeke ndio uone kuwa haki imetendeka. Mimi binafsi nilikuwa nahudhuria mikutano ya uchaguzi ya Lema, hakuna kampeni za kipuuzi na kihuni kama zake. This guy hafai kuongoza hata kundi la machizi. Tokea kaingia madarakani what did he do mpaka sasa, kuna kilichoongezeka hapo mjini arusha zaidi ya kupungua kwa watalii kutokana na siasa chafu alizoziendesha yeye, hakuna haja ya kukumbatia watu kama yeye wanaotuletea hasara badala ya faida, uhuni hauna nafasi kwa nchi ya wastaarabu kama hii. Wote tunapenda mabadiliko lakini si katika hali ya kihuni, tufuate utaratibu na kufanya siasa safi sio CDM au CCM au CUF. Tunahitaji sera na si uhuni. Sitashangaa Lema akishinda au akishindwa kwani moja wapo kati ya hayo lazima yatokee na mahakama itakuwa imetenda haki. Kusema kuwa Jaji kapokea rusha this statement is baseless and ungrounded..huwezi niambia jaji kama huyu mwenye uzoefu apokee rushwa kwa kesi kama hiii ambayo jamii nzima wanasubiri matokeo yake, judiciary pia kabla ya kuteua majaji wanaangalia sifa za jaji na uzito wa kesi. Stori za baa hazina nafasi mahali hapa, kaongeeni na walevi wenzenu huko baa.
What did he do???? Haya unayoongea mara watalii watapungua, mara uhuni ni propaganda tu hata Lowassa alisema hivyo hivyo hazitasaidia kwenye kesi hii, kama unajua alikuwa hafai au alifanya kampeni za kihuni kwanini hukujitokeza kuwa shahidi? Kama wewe huoni alichofanya waliomchagua zaidi elfu 57 wanaona na hata chama chake kilichom sponsor kinaona wewe huwezi kubadilisha kitu.
 
Waungwana...naomba wenye ufahamu na hizi kesi za uchaguzi anielimishe...kwa ufahamu wangu kuwa Jaji akitengua matokeo hawarudii uchaguzi bali ushindi anapewa mlalamikaji......sasa naomba mwenye ufahamu wa hiii kitu atuweke sawa
 
Mleta Mada naomba ninukuu kipengele kimoja kutoka kwa mwanaJF mwenzetu hapa! Namukuu "Chama cha Mapinduzi (CCM) kiliwahi kuwa tishio kwa wananchi. Kwamba ukitaja chama hicho basi watu wanatetemeka" Halafu akaendelea akasema! Nanukuu tena " kuna msemo kwamba Mbwa humfukuza anayeonesha woga. Ni kweli kwa kadri unavyomuogopa Mbwa ndivyo anavyozidi kukubwekea na unavyokimbia ndivyo anavyozidi kukukimbiza na akikukamata utakiona cha moto" Mwisho wa kumnukuu member huyu.

Hapa kinachoonekana nikua bado watu wanamfumo wa chama kimoja kwa kumuogopa mtu mmoja tu eti Lowassa kasema hivi mara Lowassa lazima ahakikishe kua eti atafanya hivi ili kupindisha sheria. Tusubiri kesho tuone nakuamini kua ule usemi wa "WAO WANAPESA! SISI TUNA MUNGU!
 
jaji awezi kufanya kitu kama icho kwa sababu anajua atasababisha machafuka mabaya zaidi ya mwembechai...wanachadema awawezi kukubali na solution itakuwa ni kufanya vulugu tu
 
Kumeibuka tetesi kwamba, hukumu ya kesi ya Mh.Godbless Lema, inaweza kutenguliwa kwakuwa hakimu wa Hiyo kesi amepewa Mshiko mzito na kundi la Mafisadi, ili kana kwamba kurudiwa kwa uchaguzi mdogo na kurirejesha jimbo la Arusha mjini kwa CCM..!

Napenda nijiulize kwanini EL na kundi lake hawajifunzi, kwani arumeru walijidanya wakitumia Washili watachukua jimbo kirahisi (wazee wa kimeru), na vile vile kwakuwa Sumari ni Ukoo mkubwa

Na sasa Arusha Mjini, wamategemea nini kama vijijini tu arumeru kuliwashinda,,kwasababu kwa kifupi tu. CCM hawakubaliki sehemu za Mijini..,na vile vile kutenguliwa kwa ubunge arusha mjini kutaongeza chuki dhidi ya CCM, watu watachagua tu CHADEMA kwa hasira kutokana na mazingira ya kesi yenyewe! na CCM itaendelea kuangamia kisiasa..!

Hata kama wakitumia hoja, eti CHADEMA wameharibu uchumi wa Arusha na kuufanya mji wa vurugu, tukicheki kwa makini, ni nani anayeamuru Polisi kupiga mabomu wananchi kama sio serikali ya CCM kwasababu wajibu wa polisi ni kulinda raia bali sio kupiga na kuwanyanyasa wananchi, na nani ambaye anayesababisha Uchumi wa Arusha kuwa mgumu kama sio Serikali ya CCM..! kwasababu Serikali ya CCM ndio ina dhamana ya kusimamia Uchumi kwa ujumla nchini ina mamlaka dhidi ya BOT,Wizara ya Fedha..,na mbunge tu hawezi kubadilisha huo mfumo.,

Kama ukitaka kuamini CCM hawana akili, wanaona madaraka ni matamu zaidi kuliko Maslahi ya nchi, wako tayari kupiga mabomu wananchi Arusha mjini, ili kumkomoa Lema na CHADEMA, huku wakisahau Arusha ndio kitovu cha UTALII nchini..,baadaye wasije kujiuliza kwanini Idadi ya watalii imepungua nchini...najua watailaumu CHADEMA,..lakini wajue CHADEMA ndio sauti ya wengi..kwahyo itakuwa ni sawa na kuwalaumu wananchi kiujumla ambao wameichoka serikali ya CCM na kuichagua CHADEMA kwa maendeleo na demokrasia ya Kweli..!

Napenda niseme, ndg.Nape Mnauye..katibu CCM-Uenezi, naamini katika CCM wengi ww ndio unaakili, upo critical na unique, kishauri chama chako kiachane na suala la Arusha...,mjipange tu paka 2015..,ni sawa sawa na kumlazimisha msichana umuoe wakati ana mimba ya mwanaume mwingine na kashachumbiwa na huyo mwanaume!

Sasa hivi kazi yenu ni moja tu..,kukisafisha chama na kuwafunga wale paka wawili kengele (mafisadi wawili waliobakia baada ya yule mmoja kujivua gamba) nadhani unawajua


Mkuuu uliyo yasema hapo mengi ni kweli ila ntaanza na Nape mwanzoni hata mie nilidhani nape ni safi sana ila kumbe CCM walisha mrubuni huyo kijana mwenzetu amesahau kabisa siasa za ukombozi na karudi kwa kundi leney siasa za ubinafsi na kuwatelekeza vujana wenzake na ndio maana CHADEMA tuna sema UKOMBOZI WETU KWA TAIFA HILI TUTAUPIGANIA NA UKO PALE PALE MUNGU YUPO PAMOJANASI NA TUTASHINDA KWA NGUVU NA UWEZO WA MUNGU.

Kuna point chache mkuu umeziweka wazi pia napenda sisitiza wananchi wanapaswa kutambua au hata kuelewa japo majukumu machache ya hawa viongozi tunao wachagua Madiwani Mbunge na Rais kazi zao ni kuwahudumia wananchi watanzania bila kujari itikadi zao za kidini,kabila,kisiasa,Rangi,Jinsia,Ukilema au sio kilema kwani kodi tukusanyao ndani ya nchi hii sio ya chama fulani au kabila au dini fulani ni kodi za wanatanzania wote.

Sasa basi mwananchi anapo tambua kazi ya Diwani wake katika eneo lake itakuwa vyema kujua kabisa jukumu ra serikali ni nini katika kuhudumia wananchi tusidanganywe na siasa ati tokea mbunge wenu yupo ametenda nini khaa Mbunge ndie anajipangia fedha za HAZINA?????kwa ajili ya jimbo lake au? au mkitaka nchi iludi kimajimbo(Province)ili muwakamate vyema hao ma mayor kwani Jimbo huwa yanakusanya mapato yao na kuweka mikakkati ya kukuza majimbo yao ila kwa mfumo wa serikali tuliyo nayo ni tofauti kabisa. Diwani ndie mtu muhimu sana katika maeneo yenu au yetu yeye nie anatakiwa kwenda ibana Halmashauri kuhakikisha mgao wenu unatumika vyema kwa ajili ya maendeleo ya eneo lenu husika. sasa sijui kama wananchi wana litambua hilo.

Kuja kwa upande wa Arusha kiuchumi ni yakwamba kama serikali ya CCM imeamua kuibania budget ya mkoa huo au jimbo la arusha mjini kwa sababu za kisiasa then serikali ya CCM ni hovyo sana huwezi tesa wananchi wa jimbo hilo huku uchaguzi ulio pita kuna madiwani wote wa vyama tofauti hapo haileti sense yoyote serikali watuambie tu wao wana lao jambo wamekula pesa yote ya HAZINA na kupeleka kweny chaguzi za 2010 na sasa hawana pesa wanatafuta sababu za kisiasa kuwarubuni na kuwadanganya wananchi, na hili ni dhahili kuwa serikali ya CCM inataka kujenga chuki ya kisiasa miongoni mwa wananchi wenye vyama tofauti ni upuuzi mtupu na ujinga mtu anaposema ati mlichagua CHADEMA hii serikali ya CCM na viongozi wake wana hakiri kweli??

Kukua kiuchumi na kuendelea kimaendeleo mji wa Arusha uko kwenye dhamana ya Mkuchika na Pinda wao wanaweka au kuwa na Political Curiosity badala ya kutizama maslahi ya Umma wa watanzania. Mwajua kupwaya kiuchumi arusha kuna adhari kubwa kwa kitaifa na mikoa yote inayo izunguka arusha esp kwa mtu mmoja mmoja, Sasa wakisingizia CHADEMA wakati fika twajua majukumu ya wahusika yapo na wayabania kwapani.



My Take;
Cheo cha UDIWANI kina MAJUKUMU MAKUBWA SANA NA NYETI.

Kutengua ubunge wa lema ni kuliingizia taifa hasara na kwenda kwenye uchaguzi mwingine mdogo, hatujaona mantiki ya kuengua uchaguzi huo mwataka kutuambia CCM wao walifanya siasa safiiii katika jimbo la Arusha mjini?

Uchaguzi ukirudiwa kuna mawili Damu kumwagika au CHADEMA kushinda kwa kishindo kikubwa sana amini nawambieni hili watu wengi katika jimbo la arusha walifurahi sana Arumeru kuchukuliwa na CHADEMA hata kama wako CCM kwani CCM imeharibika ndani na uongozi wake ni mbovu ni wa dhuruma fitna chuki uhasama na kujineeemesha kwa mafisadi wachache ndiko kunako waponza wakidhani wanapendwa its almost 70% ya watanzania wamechoshwa na Sera za uongo za CCM.

Na ndio Maana JK amekuwa mpole siku hizi kwani anajua ipo siku watanzania wote watajua ukweli wa mambo tu na utatokea ndani ya CCM humo humo.

 
Kumeibuka tetesi kwamba, hukumu ya kesi ya Mh.Godbless Lema, inaweza kutenguliwa kwakuwa hakimu wa Hiyo kesi amepewa Mshiko mzito na kundi la Mafisadi, ili kana kwamba kurudiwa kwa uchaguzi mdogo na kurirejesha jimbo la Arusha mjini kwa CCM..!

Napenda nijiulize kwanini EL na kundi lake hawajifunzi, kwani arumeru walijidanya wakitumia Washili watachukua jimbo kirahisi (wazee wa kimeru), na vile vile kwakuwa Sumari ni Ukoo mkubwa

Na sasa Arusha Mjini, wamategemea nini kama vijijini tu arumeru kuliwashinda,,kwasababu kwa kifupi tu. CCM hawakubaliki sehemu za Mijini..,na vile vile kutenguliwa kwa ubunge arusha mjini kutaongeza chuki dhidi ya CCM, watu watachagua tu CHADEMA kwa hasira kutokana na mazingira ya kesi yenyewe! na CCM itaendelea kuangamia kisiasa..!

Hata kama wakitumia hoja, eti CHADEMA wameharibu uchumi wa Arusha na kuufanya mji wa vurugu, tukicheki kwa makini, ni nani anayeamuru Polisi kupiga mabomu wananchi kama sio serikali ya CCM kwasababu wajibu wa polisi ni kulinda raia bali sio kupiga na kuwanyanyasa wananchi, na nani ambaye anayesababisha Uchumi wa Arusha kuwa mgumu kama sio Serikali ya CCM..! kwasababu Serikali ya CCM ndio ina dhamana ya kusimamia Uchumi kwa ujumla nchini ina mamlaka dhidi ya BOT,Wizara ya Fedha..,na mbunge tu hawezi kubadilisha huo mfumo.,

Kama ukitaka kuamini CCM hawana akili, wanaona madaraka ni matamu zaidi kuliko Maslahi ya nchi, wako tayari kupiga mabomu wananchi Arusha mjini, ili kumkomoa Lema na CHADEMA, huku wakisahau Arusha ndio kitovu cha UTALII nchini..,baadaye wasije kujiuliza kwanini Idadi ya watalii imepungua nchini...najua watailaumu CHADEMA,..lakini wajue CHADEMA ndio sauti ya wengi..kwahyo itakuwa ni sawa na kuwalaumu wananchi kiujumla ambao wameichoka serikali ya CCM na kuichagua CHADEMA kwa maendeleo na demokrasia ya Kweli..!

Napenda niseme, ndg.Nape Mnauye..katibu CCM-Uenezi, naamini katika CCM wengi ww ndio unaakili, upo critical na unique, kishauri chama chako kiachane na suala la Arusha...,mjipange tu paka 2015..,ni sawa sawa na kumlazimisha msichana umuoe wakati ana mimba ya mwanaume mwingine na kashachumbiwa na huyo mwanaume!

Sasa hivi kazi yenu ni moja tu..,kukisafisha chama na kuwafunga wale paka wawili kengele (mafisadi wawili waliobakia baada ya yule mmoja kujivua gamba) nadhani unawajua

Hata uchumi wa Tanzania uanguke kwa kiasi gani, haitatokea hata siku moja familia ya Kikwete ikafa njaa, kushuka kwa uchumi wa Arusha haina impact kwao. Hivi hujawahi kujifikiria kwamba hawa watu ni wabinafsi wa kufa mtu???? Kikwete anafahamu foleni ya Bagamoyo road mida ya jioni lakini mara nyingi tu akiwa anataka akasalimie familia yake wanampangia mida hiyo hiyo na kusababisha foleni ya ajabu ambayo technically inaliletea taifa hasara ya ajabu ni heri angetumia Helicopter, lakini who cares??? Kama watu wapo Tayari kuua kwa ajiri ya kupata kiti cha udiwani unategemea nini?
 
lema anashinda....kama ni kusherehekea anzeni wala hakuna shida
 
Peoples power mwanzo mwisho mpaka kieleweke lema akipigwa chini hata cdm ikisimamisha jiwe itashinda makamanda bado wapo wengi.
 
atajiabisha sana huyo jaji kwa sababu hiyo kesi hata asiye kuwa jaji anajua hakukuwa na kesi yeyote kwa sababu ushaidi ulipishana mno kati ya mashaidi hakuna hata mmoja aliyethibitisha yale waliodai
juzi nilikuwa kwa rafiki yangu kiongozi wa juu sana serikalini akanihakikishia kwamba tundu lissu,mnyika,na godbless watapigwa chini
hv wakipigwa chini uchaguzi utaludiwa au ndo aliyekuwa wapili anapewa ushindi wamezani!??
Natamani wapigwe chini ukombozi ndo utawahi hakika bunduki na maboom hayatatosha!
 
Inavyoonekana hakuna hata mmoja wenu aliekoment anyejua uhuru wa mahakama nini, mahakama haihukumu kishabiki, wala usitegemee unachokiwaza pekee kitendeke ndio uone kuwa haki imetendeka. Mimi binafsi nilikuwa nahudhuria mikutano ya uchaguzi ya Lema, hakuna kampeni za kipuuzi na kihuni kama zake. This guy hafai kuongoza hata kundi la machizi. Tokea kaingia madarakani what did he do mpaka sasa, kuna kilichoongezeka hapo mjini arusha zaidi ya kupungua kwa watalii kutokana na siasa chafu alizoziendesha yeye, hakuna haja ya kukumbatia watu kama yeye wanaotuletea hasara badala ya faida, uhuni hauna nafasi kwa nchi ya wastaarabu kama hii. Wote tunapenda mabadiliko lakini si katika hali ya kihuni, tufuate utaratibu na kufanya siasa safi sio CDM au CCM au CUF. Tunahitaji sera na si uhuni. Sitashangaa Lema akishinda au akishindwa kwani moja wapo kati ya hayo lazima yatokee na mahakama itakuwa imetenda haki. Kusema kuwa Jaji kapokea rusha this statement is baseless and ungrounded..huwezi niambia jaji kama huyu mwenye uzoefu apokee rushwa kwa kesi kama hiii ambayo jamii nzima wanasubiri matokeo yake, judiciary pia kabla ya kuteua majaji wanaangalia sifa za jaji na uzito wa kesi. Stori za baa hazina nafasi mahali hapa, kaongeeni na walevi wenzenu huko baa.

Hata wewe hujajikita kwenye msingi wa hoja ya mleta hoja. Hoja ilivyoletwa msingi wake ni tetesi kwamba kuna mlungula umetembea ili kumweka sawa Jaji apindishe haki.

Wanaojadili pia hawahoji mwendendo wa kesi ya Lema kuelemewa au la, wanahoji mantiki ya utekelezaji wa huo mlungula.

Wewe pia huelezi matarajio ya hukumu kulingana na mwenendo wa kesi bali umejikita kwa iluchoona na kama hutudanganyi basi ni kwa ulichosikia kwenye kampeni kinachotoa picha kwamba Lema ni mhuni nk.

Kusikia kwako si msingi wa kesi maadam hukufikiriwa kuitwa kama shahidi upande wa mashtaka na hivyo basi post yako nayo imejikita upande wa tetesi vilevile.

Leta details za kesi, tupo tutakaochambua bila kumpendelea Lema au Batilda.
 
Back
Top Bottom