Naloli
JF-Expert Member
- Aug 26, 2010
- 416
- 81
Leo nimebahatika kutembelea Arusha mjini katika sehemu moja mitaa ya Mihanzini nilikuwa na jamaa zangu tukipata vinywaji na kutafakari mambo tofauti. Katika maongezi yetu tulijadili kwa muda mrefu USHINDI wa NASARI huko Arumeru East. Maongezi yetu yalivuta watu wa meza za jirani pia.
Katika kujadiliana kwetu kuna jamaa wa meza ya jirani akaingia katika maongezi yetu katika kujadili kwake akaingiza jambo lililo nistua na kunigusa, Alisema, " EL na timu yake uhakika wa 90% kuwa Mpambanaji GODBLESS LEMA anang'olewa ktk UBUNGE kupitia hukumu ya kesi iliyopo mahakamani.
Mdau huyo aliendelea kueleza kuwa taarifa hizo kazipata kwa jamaa yake(ndugu yake) wa UVCCM Arusha aliyekaribu na MILLYA, kuwa wameshamuweka Jaji sawa hivyo "Jogoo awike asiwike lazima kutakucha tu" yaani lazima LEMA ang'olewe.
Nilishangaa kuona watu wengi wakiwemo na wenzangu wanazifahamu taarifa hizo na wanazungumza kwa uhakika na kuniambia wewe subiri HUKUMU ndipo utakapo amini tukisemacho. Wengine wakasema kuna sherehe imeshaandaliwa ya kujipongeza kwa kumng'oa LEMA. Na eti katika mashtaka dhidi ya LEMA walalamikaji wwameomba ikiwa mahakama itamuona LEMA ana HATIA afungiwe kushiriki siasa kwa miaka mitano. Hivyo katika uchaguzi mdogo CDM bila LEMA wamekwisha hivyo mtu wa EL atachukua JIMBO.
Naomba nieleweke si lengo langu kuingilia UHURU wa mahakama au kumshinikiza jaji atoe matokeo yatakayo wafurahisha CDM au wananchi wanao muunga mkono LEMA hata kama alipotoka ktk kampeni.
Je taarifa hizi Makamanda wa CDM hawana? kama wanazo wamejipanga vp? ni kweli wao wana PESA na sisi tuna MUNGU. Lakini inapobidi MAKAMANDA yapasa kutumia NGUVU YA UMMA kutoa HUKUMU kwa watumishi wanaopewa dhamana ya kutoa HAKI lakini wao wanaangalia MASLAHI ya KISHETANI.Si hamasishi machafuko au CDM wamtende vibaya Jaji akitoa Hukumu kinyume chao, lakini kama msingi wa hukumu ni fedha za EL, NGUVU YA UMMA IKIMUANGUKIA mimi nitaona sawa tu.
MAANA SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU
Katika kujadiliana kwetu kuna jamaa wa meza ya jirani akaingia katika maongezi yetu katika kujadili kwake akaingiza jambo lililo nistua na kunigusa, Alisema, " EL na timu yake uhakika wa 90% kuwa Mpambanaji GODBLESS LEMA anang'olewa ktk UBUNGE kupitia hukumu ya kesi iliyopo mahakamani.
Mdau huyo aliendelea kueleza kuwa taarifa hizo kazipata kwa jamaa yake(ndugu yake) wa UVCCM Arusha aliyekaribu na MILLYA, kuwa wameshamuweka Jaji sawa hivyo "Jogoo awike asiwike lazima kutakucha tu" yaani lazima LEMA ang'olewe.
Nilishangaa kuona watu wengi wakiwemo na wenzangu wanazifahamu taarifa hizo na wanazungumza kwa uhakika na kuniambia wewe subiri HUKUMU ndipo utakapo amini tukisemacho. Wengine wakasema kuna sherehe imeshaandaliwa ya kujipongeza kwa kumng'oa LEMA. Na eti katika mashtaka dhidi ya LEMA walalamikaji wwameomba ikiwa mahakama itamuona LEMA ana HATIA afungiwe kushiriki siasa kwa miaka mitano. Hivyo katika uchaguzi mdogo CDM bila LEMA wamekwisha hivyo mtu wa EL atachukua JIMBO.
Naomba nieleweke si lengo langu kuingilia UHURU wa mahakama au kumshinikiza jaji atoe matokeo yatakayo wafurahisha CDM au wananchi wanao muunga mkono LEMA hata kama alipotoka ktk kampeni.
Je taarifa hizi Makamanda wa CDM hawana? kama wanazo wamejipanga vp? ni kweli wao wana PESA na sisi tuna MUNGU. Lakini inapobidi MAKAMANDA yapasa kutumia NGUVU YA UMMA kutoa HUKUMU kwa watumishi wanaopewa dhamana ya kutoa HAKI lakini wao wanaangalia MASLAHI ya KISHETANI.Si hamasishi machafuko au CDM wamtende vibaya Jaji akitoa Hukumu kinyume chao, lakini kama msingi wa hukumu ni fedha za EL, NGUVU YA UMMA IKIMUANGUKIA mimi nitaona sawa tu.
MAANA SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU