Jaji kesi ya Lema Arusha kashikishwa kitu na mafisadi?

Naloli

JF-Expert Member
Aug 26, 2010
416
81
Leo nimebahatika kutembelea Arusha mjini katika sehemu moja mitaa ya Mihanzini nilikuwa na jamaa zangu tukipata vinywaji na kutafakari mambo tofauti. Katika maongezi yetu tulijadili kwa muda mrefu USHINDI wa NASARI huko Arumeru East. Maongezi yetu yalivuta watu wa meza za jirani pia.

Katika kujadiliana kwetu kuna jamaa wa meza ya jirani akaingia katika maongezi yetu katika kujadili kwake akaingiza jambo lililo nistua na kunigusa, Alisema, " EL na timu yake uhakika wa 90% kuwa Mpambanaji GODBLESS LEMA anang'olewa ktk UBUNGE kupitia hukumu ya kesi iliyopo mahakamani.

Mdau huyo aliendelea kueleza kuwa taarifa hizo kazipata kwa jamaa yake(ndugu yake) wa UVCCM Arusha aliyekaribu na MILLYA, kuwa wameshamuweka Jaji sawa hivyo "Jogoo awike asiwike lazima kutakucha tu" yaani lazima LEMA ang'olewe.

Nilishangaa kuona watu wengi wakiwemo na wenzangu wanazifahamu taarifa hizo na wanazungumza kwa uhakika na kuniambia wewe subiri HUKUMU ndipo utakapo amini tukisemacho. Wengine wakasema kuna sherehe imeshaandaliwa ya kujipongeza kwa kumng'oa LEMA. Na eti katika mashtaka dhidi ya LEMA walalamikaji wwameomba ikiwa mahakama itamuona LEMA ana HATIA afungiwe kushiriki siasa kwa miaka mitano. Hivyo katika uchaguzi mdogo CDM bila LEMA wamekwisha hivyo mtu wa EL atachukua JIMBO.

Naomba nieleweke si lengo langu kuingilia UHURU wa mahakama au kumshinikiza jaji atoe matokeo yatakayo wafurahisha CDM au wananchi wanao muunga mkono LEMA hata kama alipotoka ktk kampeni.

Je taarifa hizi Makamanda wa CDM hawana? kama wanazo wamejipanga vp? ni kweli wao wana PESA na sisi tuna MUNGU. Lakini inapobidi MAKAMANDA yapasa kutumia NGUVU YA UMMA kutoa HUKUMU kwa watumishi wanaopewa dhamana ya kutoa HAKI lakini wao wanaangalia MASLAHI ya KISHETANI.Si hamasishi machafuko au CDM wamtende vibaya Jaji akitoa Hukumu kinyume chao, lakini kama msingi wa hukumu ni fedha za EL, NGUVU YA UMMA IKIMUANGUKIA mimi nitaona sawa tu.

MAANA SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU
 
Hii habari ilikuwepo tangu asubuhi ni tetesi ni kweli JAJI AMEKULA RUSHWA ILI LEMA, G ashindwe!
 
Kama ni kweli na huyo jaji akapindisha sheria kwa ajili ya pesa. Basi katika maisha yake yote yeye na familia yake awe na ulinzi kuliko hata wa rais Obama. Kwasababu atakuwa amewaumiza raia wengi wa Arusha kwa tamaa yake ya pesa hivyo lazima nae alipe.
 
Kwa rushwa ya Tanzania sitashangaa. Watu wanashindwa kuheshimu profession zao na kukubali kudanganywa. Kazi hipo
 
leteni vithibitisho jamvini, other wise its all ****, yaleyale ya cdm ikishinda najinyonga, tupunguze conspicuous theories, tusubiri hukumu! period.
 
habari za baa zinafikaje jf?

hizi habari ni za kweli mkuu! Zimetapakaa karibia Ars nzima.
Jana asbh nilikuwa police upande wa ofc ya RPC, imagine maaskari wenyewe wanaliondelea hilo!!
Na mmoja akawa anasema ni bora haya matukio yangejitokeza kwa cku moja. Yaani ushindi wa Joshua na hukumu ya Godless Lema.
Na akasema hiyo alhamis kunawatu watakimbia mji! Mmoja wa askari akambana na kumuuliza ni kweli jamaa atapigwa chini? Huyo askari akastuka na kuniangalia na kusema mi sijui ww subiria hiyo alhamis.
 
Atajiabisha sana huyo Jaji kwa sababu hiyo kesi hata asiye kuwa Jaji anajua hakukuwa na kesi yeyote kwa sababu ushaidi ulipishana mno kati ya mashaidi hakuna hata mmoja aliyethibitisha yale waliodai
Juzi nilikuwa kwa rafiki yangu kiongozi wa juu sana serikalini akanihakikishia kwamba Tundu Lissu,Mnyika,na Godbless watapigwa chini
 
hizi habari ni za kweli mkuu! Zimetapakaa karibia Ars nzima.
Jana asbh nilikuwa police upande wa ofc ya RPC, imagine maaskari wenyewe wanaliondelea hilo!!
Na mmoja akawa anasema ni bora haya matukio yangejitokeza kwa cku moja. Yaani ushindi wa Joshua na hukumu ya Godless Lema.
Na akasema hiyo alhamis kunawatu watakimbia mji! Mmoja wa askari akambana na kumuuliza ni kweli jamaa atapigwa chini? Huyo askari akastuka na kuniangalia na kusema mi sijui ww subiria hiyo alhamis.
Toeni ujinga kesi yenyewe iko wapi au wewe hukuifuatilia nini.
 
Hata mm kuna mshkaji wangu yupo Arsh alinijuza hiyo kitu na yule mama ashaitwa toka Kenya
 
Ila CCM watambue ya kuwa Hata Chadema ikimsimamisha dogo janja aliyerup siku ya kufunga kampen za Joshua na wao wakamsimamisha yule mama Chadema itashinda kwa kishindo Arusha... So kukwepa gharama zote watakazozitumia ni heri wajipange kwa ajili ya 2015 na sio kutumia plan B. Watu wa kaskazin hawadanganyiki tena na Magamba kifo chao kimeshafika hawana ujanja wala pakutokea....
 
Nyie watu wa ccm jifurahisheni maana si tumesha wapiga kwenye uchaguzi arumeru sads mmegeukia maswala msyoyajua: nawaambieni sasa hata mahakamani tutaibuka kidedea, watu zaidi elf 57 waliomchagua Lema siyo wajinga, eti wafutiwe mbunge wao kwa issue za kihuni, huyo jaji athubutu aone!
 
Lema, Mnyika na Lisu .........hawa wote wakipigwa chini nitajua kuwa kweli Tanzania haina demokrasia na nchi imo mikononi mwa wachache na hatutakuja tuendelaa hadi damu imwagike sana ndio watafurahia au hadi waaibike kama bagbo ndio watatuia akili ila bila hivyo wataendelea kujiona kuwa wapo juu ya sheria na wana nguvu kuliko umma
 
Back
Top Bottom