omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
wamuconsult Mr. Trasias Kagenzi awaambie ubaya wa wanachokusudia kukifanyawangekuwa na akili wasingefikiria, japo kufikiria tu, kutengue ubunge wa kiongozi wa watu wa arusha. kuna sehemu wanaweza kufanya upuuzi huo na wakaachwa tu, cyo sehemu kama Arusha.
hawa jamaa hawajifunzi kabisa inaelekea.