Jaji huyu achunguzwe haraka

Jaji huyu achunguzwe haraka

Hii ni fursa nzuri kuitumia faida yake ni kubwa sana
 
Najiona mshindi sana maana siri ya mtu alieshindwa hoja ndo hyo kuhara hadi kwa mdomo... Ukilala usisahau pampass
Labda umemaanisha mshindi aina ya sabuni mana sijaona hoja uliojibu zaidi ya vioja..ndomana nikasema ZIRO ni halali kuwa na tundu..usipende sana kutumia pampas kijana
 
Labda umemaanisha mshindi aina ya sabuni mana sijaona hoja uliojibu zaidi ya vioja..ndomana nikasema ZIRO ni halali kuwa na tundu..usipende sana kutumia pampas kijana
Huku kwetu denis denny maana yake mwanamke mjamzito
 
MOD IUNGANISHE ILE YANGU INAYOHUSU SAME STORY TUENDELEE KUICHAMBUA NA KUMCHAMBUA HUYU JAJII MAMAYANGUU ATAJUTA ALICHOOKIGUSA
 
Yawezekana kwenye sheria mtu akilipa faini sio lazima iwe na thamani sawa na kosa lake! mbona makosa ya barabarani yana faini ndogo na unakuta mtu aliyegongwa kafa au hata kapoteza kiungo. hata hivyo mie sio mjuzi wa sheria
Sheriaa iliomfungishaa yule kijana wa mirungi miaka 30 niya nchi gani huyu mbwaa akapewa alipe mil kumi NA alikuja NazoMNS alijua NA adhabu anayopewa
 
Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.

Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.

Nawasilisha.
MANYERERE BRDA SIO WANYAMA TU

HATA SISI TUTAKUWA HATARINI BINADAMU WENZAKE....
 
Kwa hiyo kila kosa iwe kifungo bila faini? Acheni majaji watushikishe adabu
 
Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.

Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.

Nawasilisha.
Kenya waliweka utaratibu wa kamati maalumu kupitia hukumu nyeti na kuona ni zipi zenye mwelekeo wa rushwa na wahusika kuchukuliwa hatua.
 
Back
Top Bottom