Jaji huyu achunguzwe haraka

Jaji huyu achunguzwe haraka

Dah....tembo 30 na simba 26 faini 10m....ngoja nisafishe bunduki yangu kesho niingie porini
 
Kwa mjibu wa sheria ya
Wanyamapori Na.5 ya 2009 kifungu cha 86(1) inakatazaa kumiliki, kuuza, kununua au kujihusisha kwa namna yoyote na nyara za serikali. Kifungu kidogo cha (2) cha fungu hilo la 86 kina vipengele (a) na (b) vinatoa maelekezo sahihi namna ya kutoa hukumu kwa anayevunja kifungu (1) kutegemea kwamba mnyama ambaye nyara husika imekamatwa anapatikana kwenye sehemu gani ya jedwali. Kwa mfano tembo yuko kwenye sehemu ya kwanza ya jedwali namba 1 na thamani yake ni zaidi ya laki moja, hivyo faini yake inatolewa na kifungu cha 86(2)(b) na inatakiwa iwe si chini ya mara 10 ya dhamani ya mnyama. mfano tembo ni kati ya dola 18000 hadi 20000 sawa na mil 37 au 41 sasa ukizidisha mara 10 utapata ni bilion kadhaa. Na Hakimu au jaji ameagizwa ktk kifungu 86(3)(a)&(b) namna ya kutoa hukumu kulingana na "certificate of value of trophies", Hivyo basi kuna mawili; Jaji anaweza akawa sahihi au wrong kutegemea na Afisa aliyeandaa "Certificate of Values of trophies", kama aliandaa vyema kwa mujibu wa "Valuation of Trophy Regulation" basi jaji yupo wrong ila kama aliandaa vby basi jaji anaweza kuwa sahihi.

Mhhh hapa kuna kaukweli ila kamechanganyana na chumvi nyingi Milion 37 au 41 ukizidisha mara 10 unapata bilioni kadhaa ? Sio milioni kazaa ?
 
Huyo aliesuggest mwambie anataka atoe adhabu gan ambayo ipo pale ... Jaman tuache mizuka
We usie na mizuka unaona halali mtu kakamatwa na nyara za serikali mara 30 ya hela aliyotozwa na huyo jaji...
 
We usie na mizuka unaona halali mtu kakamatwa na nyara za serikali mara 30 ya hela aliyotozwa na huyo jaji...
Aise ni halali kabisa jaji ametenda haki kwa sheria iliopo.Vp wewe sheria yako inasema apewe adhabu gan mkereketwa..
 
Mwandishi wa habari kanjanja,nenda darasani ukasome,
Hata sheria zenyewe huzijui,Ile Habari yako ya Dr Mpoki umefikia wap?
 
Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.

Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.

Nawasilisha.
Sheria makengeza..! Kiuhalisia kilichotoka ni zaidi ya 30M...hizi ni za mlango wa nyuma watu wameselfika
 
Mchina kamzidi milioni tatu yule aliyemtusi presidaa... Duh Mahakimu wa Serikali hii Oyeeeeeeee!
 
Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.

Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.

Nawasilisha.

Mkuu ni USD$ 10M Au macho yangu yana zeeka
 
Jaji anaongozwa na Sheria na kama huridhiki Jamhuri inakata rufaa sio kuleta Umbea mitandaoni

Umemjibu vizuri sana,,,,wao wanadhani jaji au hakimu hukumu anatoa kichwani mwake
 
Aise ni halali kabisa jaji ametenda haki kwa sheria iliopo.Vp wewe sheria yako inasema apewe adhabu gan mkereketwa..

Weye ZIRO kweli kweli.Sheria Mtuhumiwa angelipa faini ya 50M Na miaka kumi jela ili iwe fundisho Kwa majangili wengine
 
Mwandishi wa habari kanjanja,nenda darasani ukasome,
Hata sheria zenyewe huzijui,Ile Habari yako ya Dr Mpoki umefikia wap?

Mpoki karejesha gari la milioni 200 ambalo alijiuzia kwa bei isiyofikia milioni 10!
 
Weye ZIRO kweli kweli.Sheria Mtuhumiwa angelipa faini ya 50M Na miaka kumi jela ili iwe fundisho Kwa majangili wengine
wewe ligogo a.k.a gogo hyo sheria umeitunga wewe au unataka iwe hivyo..?
 
Hapo sawa ningashangaa mbulula kama wewe ungekua unajua sheria kabla ya kukurupuka.. huna tofauti na nyegere
Sishangai ZIRO kuwa na Tundu na mzungu anasema matundu yote hutumika
 
Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.

Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.

Nawasilisha.
Tatizo sio Jaji ni sheria yenyewe ilivyo!Hapa unatakiwa uwaambie wabunge wakarekebishe
 
Huyo Jaji alikuwa anapaswa amwagiwe TINDIKALI siku ya kupatwa kwa jua.
Uncle MAGUFULI anzisha siku ya kunyonga Hadharani kila baada ya miezi 6 watu kama wa 5 wanaenda kwa God. Majizi, wa Unga na wa kwanza awe huyu Jaji.

Ameua Tembo 30, Tshs 10m?
 
Sishangai ZIRO kuwa na Tundu na mzungu anasema matundu yote hutumika
Najiona mshindi sana maana siri ya mtu alieshindwa hoja ndo hyo kuhara hadi kwa mdomo... Ukilala usisahau pampass
 
Back
Top Bottom