Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Bila shaka atakua kijana wa katibu mkuu wa chama cha kjan
Mkuu Hapo Ndiyo Kinyaa Kinapoingia Kiongozi Anatoa Hukumu Mfukoni Ni Mwanachama Wa Ni Ile Ile! Mbele Kwa Mbele.hwa majaji wenyewe kadi za CCM tulishawapigia kelele weee
Jaji anaongozwa na Sheria na kama huridhiki Jamhuri inakata rufaa sio kuleta Umbea mitandaoni
Huu ndiyo mchango tunaoutegemea kutoka kwa Mutu ya Lumumba!! Ccm tangu lini wakawa na huruma kwa Tembo?Jaji anaongozwa na Sheria na kama huridhiki Jamhuri inakata rufaa sio kuleta Umbea mitandaoni
Mumegusa maslahimbona umepanic ghafla.
Safi mkuu!! Umewakamatia kwenye kona! Kuna watu humu ukizungumzia habari ya Ndovu wanamwaga povu balaa! Sijui kwa nini?Wanaohoji sheria zimekaaje, watueleze huyu hakimu wa ilala na jaji wa moshi wametumia sheria za aina gani kutoa hukumu hizi. Jaji ana walakini.
Mtoa mada nadhani amekurupuka, kuna dhana inaitwa independence of judiciary, ukiisha ilewa uje sasa kivingine. Hapa brother ume-expose your ignorance
Mkuu umenichekesha.... unaweza kuta wako makini kubadili sheria za kuwabana wachochez wakati nyingine haziguswi, hawana muda nazo na ndo maana unakuta hukumu za hivi...Hii ni hatari, faini inataka kufanana na faini ya kosa la 'uchochezi'.
Afrika kwa waafrika.
Huu ndiyo mchango tunaoutegemea kutoka kwa Mutu ya Lumumba!! Ccm tangu lini wakawa na huruma kwa Tembo?
Umbea ni nini?Jaji anaongozwa na Sheria na kama huridhiki Jamhuri inakata rufaa sio kuleta Umbea mitandaoni
Mkuu sheria ya sasa nadhani faini ni mara 10 ya thamani ya nyara uliyokutwa nayo.Yawezekana kwenye sheria mtu akilipa faini sio lazima iwe na thamani sawa na kosa lake! mbona makosa ya barabarani yana faini ndogo na unakuta mtu aliyegongwa kafa au hata kapoteza kiungo. hata hivyo mie sio mjuzi wa sheria
Jaji anaongozwa na Sheria na kama huridhiki Jamhuri inakata rufaa sio kuleta Umbea mitandaoni
Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.
Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.
Nawasilisha.
Unatia kinyaa sana no wonder pamoja na kujipendekeza kote hata u DC ukakosa!!Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.
Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.
Nawasilisha.