Meno na kucha zilikuwa na thamani gani? Nadhani kavuna bilion kadhaaKuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.
Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.
Nawasilisha.
Hata sisi tusioenda shule tumeshangazwa na hiyo hukumu.Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.
Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.
Nawasilisha.
Huyo wa Moshi hizo nyara si zimerudi Serikalini?Wanaohoji sheria zimekaaje, watueleze huyu hakimu wa ilala na jaji wa moshi wametumia sheria za aina gani kutoa hukumu hizi. Jaji ana walakini.
Ahukumiwa miaka 20 jela
By Hadija Jumanne, Mwananchi hjumanne@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Mahakama ya Wilaya ya Ilala mkoani hapa, imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela au kulipa faini ya Sh211 milioni Said Zomola (30) baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na vipande 14 vya meno ya tembo.
Mshtakiwa huyo anadaiwa kukutwa na vipande hivyo vyenye uzito wa kilo 24 vyenye thamani ya Sh21 milioni mali ya Serikali.
Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma Hassan alisema ametoa hukumu hiyo baada ya Mahakama kuridhishwa na ushahidi wa mashahidi saba.
Hata hivyo, wakati hukumu hiyo ikitolewa, mshtakiwa huyo hakuwapo mahakamani baada ya kuruka dhamana.
“Baada ya kuwasikiliza mashahidi hao wote mshtakiwa alitakiwa afike mahakamani kwa ajili ya kutoa utetezi wake, lakini ameshindwa kwa kuruka dhamana na hivyo mahakama inamtia hatiani kama alivyoshtakiwa pasipo kuwapo,’’ alisema.
0
Kata rufaa kama hujaridhika..Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.
Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.
Nawasilisha.
Mtoa mada nadhani amekurupuka, kuna dhana inaitwa independence of judiciary, ukiisha ilewa uje sasa kivingine. Hapa brother ume-expose your ignorance
Manyerere Jackton namsikiaga sana, hivi ni wapi? CCM au? Mwandishi wa habaria au? You might not be knowledgeable of law but at least you are informed!Kuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.
Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.
Nawasilisha.
Abadilishe sheria kwani ye ni chombo cha sheria...halafu ye katoa kama ushauri kuwa jaji achunguzwe we umekuja mbiombio na kebehi au jaji anakuhusuWewe ni nani? na unajua sheria inasemaje kuhusu hyo kesi? au unadhan anashauriana na mkewe anakuja kutoa maamuzi? Cha msingi badilisheni sheria hizo ziendane na uzito wenyewe
Ilitakiwa iwaje?Hata sisi tusioenda shule tumeshangazwa na hiyo hukumu.
Huyo wa Moshi hizo nyara si zimerudi Serikalini?
Walau hiyo hukumu ingeendana na thamani ya vitu alivyokamatwa navyo.Ilitakiwa iwaje?
China tunafungwa maishaKuna hukumu imetolewa na Jaji mjini Moshi ya faini ya Sh milioni 10 kwa raia wa Vietnam aliyetiwa hatiani kwa kosa la kukutwa akiwa na meno 60 (tembo 30) na kucha 260 za simba. Adhabu ya faini ya Sh milioni 10 ni ndogo mno.
Nini kilichomwongoza kutoa hukumu hii? Mamlaka za uchunguzi zifanye kazi kubaini kilichomfanya Jaji atoe hukumu nyepesi namna hii. Tukiwachekea watu wa aina hii wanyama watatoweka.
Nawasilisha.
Wewe unaesema jaji achunguzwe unajua hyo sheria inasemaje? inampa jaji uwezo wa kufanya maamuzi gan na kosa hilo lina adhabu gan? kama hujui basi funga bakuli lako ukalime uache kulalamika tuAbadilishe sheria kwani ye ni chombo cha sheria...halafu ye katoa kama ushauri kuwa jaji achunguzwe we umekuja mbiombio na kebehi au jaji anakuhusu
Wewe unaejua mbona umetapika tu bila kueleza ukweli,kwanza mtoa mada kashauri achunguzwe kulingana na adhabu aliyotoa ila wewe ndo umeanza kumshambulia..muda mwingine stress zenu za maisha mzimalize kwanza ndo mchangie mana mnakuwa vitukoWewe unaesema jaji achunguzwe unajua hyo sheria inasemaje? inampa jaji uwezo wa kufanya maamuzi gan na kosa hilo lina adhabu gan? kama hujui basi funga bakuli lako ukalime uache kulalamika tu
Huyo aliesuggest mwambie anataka atoe adhabu gan ambayo ipo pale ... Jaman tuache mizukaWewe unaejua mbona umetapika tu bila kueleza ukweli,kwanza mtoa mada kashauri achunguzwe kulingana na adhabu aliyotoa ila wewe ndo umeanza kumshambulia..muda mwingine stress zenu za maisha mzimalize kwanza ndo mchangie mana mnakuwa vituko