Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Awasilishe mahakamani kama anao ushahidi juu ya hayo anayo mtuhumu nayo, sio kumchafua Jiji bila ushahidi.

Kama hakuna ushahidi Jaji aendelee.

Kibatala anazidi kumchimbia shimo bila yeye kujielewa maskini Mbowe!!!

Hoja ya kitoto kweli hiyo eti unamkataa Jaji?!! Tena unatoa tuhuma za kizushi na majungu ya kumchafua Jaji?

Halafu hao mawakili wanamfundisha ujinga kama huo!!
Yaani una wivu na mbowe mwana mme mzima, tatizo lako umeishi sana kwa shemeji hadi una chembe za kike.
 
Unasema sio swala la kisiasa halafu unaongea siasa tupu !

Unaonyesha Jaji inabidi aangalie "interest" za Jamhuri badala ya kusimamia haki.

By the way kama Jaji anawaonea huruma hao watu kukaa mahabusu alitakiwa atumie muda wake kufanyia kazi pingamizi la shitaka la ugaidi kwani kama angekamilisha like na ku-drop charge za ugaidi wangekuwa huru na mashitaka mengine yangeendelea. Lakini alichofanya ni kutolitolea maamuzi na kusema atatoa maamuzi siku nyingine isiyo na jina...

Siasa tupu !
Mkuu unadhani kuangalia interest ya mshitaki au mdai ipo wapi ni siasa?, ungenielewa nilivyosema Jamhuri inaonekana bado ina interest na kesi wala usingewaza kama ni siasa.

wewe hauoni kama achia kamata, achia kamata ni upotevu wa muda na kuzusha sintofahamu kwa raia hasa wa nchi kama Tz ambao hawana uelewa hata na taratibu za kimahakama?
 
Tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji Luvanda sio tu zinamchafua yeye bali zinawachafua Majaji wote na Muhimili wa Mahakama.
Hivyo Mbowe na Mawikili wake walipaswa wathibitishe tuhuma hizo nzito.
kabla ya Jaji kujitoa.
vinginevyo Muhimili wa Mahakama utaendelea kuchezewa sana na Mawakili wa Mbowe.
Ukichangia mada ukada wa Lumumba uweke pembeni

1.Serikali / Jamhuri ndivyo ilivyoshtaki.
2.Jaji E. B Luvanda kakubali mashtaka ya serikali yana kasoro
3.Jaji E.B Luvanda anaelekeza namna nzuri ya serikali kumshtaki Mbowe
4.Kwa hiyo
a) Jaji alipaswa amwachie Mbowe.
b) Mbowe hashtakiwi na Jaji anashtakiwa na serikali kupitia ofisi za mwendesha mashtaka DPP na Mawakili wa serikali, vipi jaji na yeye kujiunga upande wa Jamhuri kuwaelekeza kazi ifanywe vipi kisha wamletee halafu hapo haki kweli itatendeka?

Anawaza kwa sauti Askofu Bagonza
 
Ukichangia mada ukada wa Lumumba uweke pembeni

1.Serikali / Jamhuri ndivyo ilivyoshtaki.
2.Jaji E. B Luvanda kakubali mashtaka ya serikali yana kasoro
3.Jaji E.B Luvanda anaelekeza namna nzuri ya serikali kumshtaki Mbowe
4.Kwa hiyo
a) Jaji alipaswa amwachie Mbowe.
b) Mbowe hashtakiwi na Jaji anashtakiwa na serikali kupitia ofisi za mwendesha mashtaka DPP na Mawakili wa serikali, vipi jaji na yeye kujiunga upande wa Jamhuri kuwaelekeza kazi ifanywe vipi kisha wamletee halafu hapo haki kweli itatendeka?

Anawaza kwa sauti Askofu Bagonza
Hiyo ni kazi ya jaji ,hata Mbowe akikosea jaji aweza mpa mda kurekebisha kasoro,tuache siasa
 
Sisi Mahakama tujitafakari,maslahi yetu yapo hivi:-
1. Mshahara zaidi ya Tshs 6,000,0000/-kwa mwezi
2. Nyumba masaki
3. Gari VXR
4. Likizo nje ya nchi kila mwaka.
5. Posho ya suto kila mwezi.
6. Overtime nyingi sana.
7>Fedha za sessions , kila tunapokwenda mikoani.
8.Ukistaafu kinua mgongo zaidi ya Tshs 200 milion.
9. Kila mwezi ukistaafu unapata 4,000,000 /- milioni 4.
10. Kusomeshewa watoto.
11. Uklinzi, house boy and girl,
14. NSSF , Bima ya afya.

Hayo yote bado tu mtu haridhiki anataka kukandamiza kitoto kama Mbowe kweli, Mungu anaona mjue .
Mbowe ni gaidi kanasa kiulaini sana
 
Jaji amekosea sana kujitoa ktk kesi.
Maana yake ni kwamba tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji ni za kweli.
Kabla ya kujitoa hizo tuhuma lazima kwanza zithibitishwe maaana sio tu kwamba zina mchafua Jaji/Majaji bali zinauchafua Muhimili wa Mahakama.
Hajakosea mkuu inawezekana tuhuma zina ukweli kiasi chake.
 
Ngoja tuzidi kumsihi Mwenyezi Mungu aingilie kati mateso ya Mbowe!

Wenye kufuatilia maswala ya kisheria waendelee kufuatilia wala si vibaya lakini wengine tumuelekee Mungu kila mtu kwa imani yake tumsihi aingilie kati kwa njia azijuazo yeye mwenyewe.

Mungu ni mwaminifu sana hakika atafanya jambo very soonest!
 
Mbna umekua nguchiro ww???
Wapambe wake Mbowe wanasukumwa na hisia kuliko mashtaka dhidi yake ambayo ni mazito kiasi cha kuvuta wawakilishi wa Balozi za nje.

Kama zilivyo hoja zako, Mawakili wa utetezi hawamtendei haki mteja wao. Kwa kuwa hati ya mashtaka ilikuwa na mapungufu wangeendelea na kesi ili watumie mapungufu hayo kujenga hoja za kumnusuru mteja wao. Kitachotokea yataandaliwa mashtaka mazito ambayo watakuwa na kazi kuyapangua
 
kweli
Basi watueleze hakuna utawala wa sheria nchini tujue wazi...a criminal ni criminal tu haijalishi ni mwanasiasa au kibarua wa shambani.



kweli kabisa mkuu,
a criminal ni criminal tuu, it doesn't matter his power or position he hold in the gvT..
kwa kiasi flan hii haipo practical in our country...
 
Back
Top Bottom