PostGE2025 Jaji Chande: Kuhusu mgongano wa kimaslahi kwa Dkt. Stergomena kuwa kwenye Tume isiwape tabu, wote tumekula kiapo

PostGE2025 Jaji Chande: Kuhusu mgongano wa kimaslahi kwa Dkt. Stergomena kuwa kwenye Tume isiwape tabu, wote tumekula kiapo

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Akijibu swali la mwandishi kuhusu uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Tax, kujiunga na tume ya kuchunguza yaliyotokea wakati wa uchaguzi pamoja na kuwepo kwa tuhuma kwamba Jeshi analolisimamia lilihusishwa na mauaji ya waandamanaji, mwenyekiti wa tume hiyo Jaji mkuu mstaafu othman Chande ameeleza kuwa mamlaka ya kuteua wajumbe wa tume ni ya Rais kisheria. Kwa msingi huo, Rais ndiye mwenye uwezo wa kufanya maamuzi na kuzingatia vigezo anavyoona vinafaa katika uteuzi huo.


 
Vitu zingine ni kuunda genge la kupeana posho.

Kwanini wasiweke INDEPENDENT COMMITTEE.

Huwezi teuliwa na Raisi halafu ukaleta report isiyo mfuraisha unategemea nini kama sio kuliwa kichwa...

Tanzania tunajichelewesha wenyewe ni pale tumeamua kuruhusu akili ndogo itawale akili kubwa
 
 
Akijibu swali la mwandishi kuhusu uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Tax, kujiunga na tume ya kuchunguza yaliyotokea wakati wa uchaguzi pamoja na kuwepo kwa tuhuma kwamba Jeshi analolisimamia lilihusishwa na mauaji ya waandamanaji, mwenyekiti wa tume hiyo Jaji mkuu mstaafu othman Chande ameeleza kuwa mamlaka ya kuteua wajumbe wa tume ni ya Rais kisheria. Kwa msingi huo, Rais ndiye mwenye uwezo wa kufanya maamuzi na kuzingatia vigezo anavyoona vinafaa katika uteuzi huo.


Kiapo ndio nini?
Kwani wanaoua raia hawajala kiapo?
Aache ujinga.
 
Akijibu swali la mwandishi kuhusu uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Tax, kujiunga na tume ya kuchunguza yaliyotokea wakati wa uchaguzi pamoja na kuwepo kwa tuhuma kwamba Jeshi analolisimamia lilihusishwa na mauaji ya waandamanaji, mwenyekiti wa tume hiyo Jaji mkuu mstaafu othman Chande ameeleza kuwa mamlaka ya kuteua wajumbe wa tume ni ya Rais kisheria. Kwa msingi huo, Rais ndiye mwenye uwezo wa kufanya maamuzi na kuzingatia vigezo anavyoona vinafaa katika uteuzi huo.


Kwani nani hajala kiapo?? Ujinga mtupu
 
Hawa watu hiyo Desemba 9 inabidi watumiwe ujumbe mzito sana. Maana wamezidi kutuona Watanganyika wapumbavu kama walivyo wao
 
Hawa watu wametuona sisi ni wajinga sana,wamesahau hata wasimamizi wa hiyo tume waliyosema tume huru ya uchaguzi walikula kiapo kwenye ule uchafuzi,lakini wapata amri ya kumpigia kura dictator Samuya
 
Upumbavu mtupu!

Watu waliapa kuilinda katiba halafu wakaiita KIJITABU tu.

Huyo Chande anafikiri tuko zama za RTD.

Wakae wakifahamu hakuna rais maana tarehe 29 hakukua na uchaguzi.

Hawawezi kumsafisha muuaji.
 
Watu wote ni waovu. Dhamira ya ndani ya moyo wa mtu huwezi kupima kwa kula viapo. Lazima kuwe na modalities /strategy za makusudi kuondoa mtu kuwa driven na conflict of interest katika kutoa maamuzi.
Mbona Majaji mnakula RUSHWA pamoja viapo vyenu vikubwa?
 
Story nusunusu sio kitu kizuri hata kidogo. Jaji kaongea vizuri tu kwamba pamoja na mambo mengine, mjumbe anaweza kujiondoa au kuondolewa kama itaonekana kuna huo mgongano w maskahi. Na itabidi atoke tu
 
Back
Top Bottom