LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,388
Kujiuhudhulu kwangu mi hapatoshi kbs! Angetakiwa na kundi lake lote waachie ngazi mara moja. Na mashtaka iwahusu.
taratibu JS............angalio hiyo lugha unayotumia!
hahaha na amesema hataki malimbano anamwachia munguJairo anadai, amechoshwa na Siasa za majitaka. Wabunge wanamuonea wivu wa maendeleo.
Jairo anadai, amechoshwa na Siasa za majitaka. Wabunge wanamuonea wivu wa maendeleo.
kuwa dodoma si kigezoEti source Dodoma ndio nini.mbona mi nipo Dodoma lakini sijui...weka source Ghost
duh matusi ya kitandani huu msamiati mpyaleo utashua/pandisha chati yako hapa JFIkiwa unadanganya badilisha kabisa ID yako manake ntakuporomoshea matusi ya kitandani kila nikuonapo