il dire
Member
- Nov 9, 2010
- 76
- 29
Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo
More to follow
hiyo haitoshi inabidi na Boss wake na naibu wake wafuate mkondo coz hakuwa anaact bila kuwataarifu maboss wake waliomuweka hapo. kumstaafisha huyu 2 akutoshi huu uozo utaendelea katika wizara na Taasisi nyingine za hii Serikali legelege tuliyonayo.