Wafanyekazi gani wakati wao ndio walitakiwa kwanza kuyagundua madudu haya.Bora kajiuzuru sasa TAKUKURU wafanye kazi yao.
Wafanyekazi gani wakati wao ndio walitakiwa kwanza kuyagundua madudu haya.Bora kajiuzuru sasa TAKUKURU wafanye kazi yao.
ahsante babaa!Update:Habari ambazo nazipata hapa katika ofisi za Mjengo ni kuwa Anawajibika kwa Rais. Hold on huenda PM akatoa tamko muda si mrefu. Ila kashawasilisha barua ya kujiuzuru. Tunatafuta maarifa ya kujua content.SOURCE NI GHOST RYDER No More question Wakuu, Acheni tufanye kazi
na baraza nzima la mawaziri na manaibu waziri pamoja na makatibu wazira wote wajiuzulu mara moja......maana wana copy na ku paste...ndio maana uchumi wetu unapolomoka kwa kasi....kikwete...ngoma zito waingize zito na mbowe na silaa ndani ya serikali yako....maana wote ni watanzania tena wazalendo na wanaweza kutumikia nchi....
Inategemea uko sehemu gani ya Dodoma kama uko maeneo ya Zuzu utajuaje ya bungeni.Eti source Dodoma ndio nini.mbona mi nipo Dodoma lakini sijui...weka source Ghost
Mbona barua haisemi hiyo hela ni kwa ajili ya kuhongea wabunge? naona tu hapo anaeleza kwamba maafisa wa wizara watakuwa Dodoma kwa ajili ya kutoa ufafanuzi. Labda hiyo hela ilikuwa ni kwaajili ya hao maafisa wa wizara?
Halafu cha pili anasema kama ilivyo kawaida. So ina maana hili ni jambo ambalo huwa linafanyika kila mwaka!! So why do we blame him. Nafikiri ndiyo maana hata Kikwete ameshindwa kutoa maamuzi katika hilo. The only solution here, wabunge wa upinzani waibue move ya kutokuwa na imani na serikali. Maana kwa barua hii, ni dhahiri kwamba serikali nzima ndiyo ipo hivyo. Ipigwe kura ya kutokuwa na imani na serikali iliyopo madarakani full stop!!
Duh hivi eee.....ni machungu tu dada yangu jinsi mambo yanavyoendeshwa.....
Wivu gani?? Kaharibu asepe zake....Jairo anadai, amechoshwa na Siasa za majitaka. Wabunge wanamuonea wivu wa maendeleo.
Mhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!! nimepita tu hapoleo utashua/pandisha chati yako hapa JF
Ikiwa unadanganya badilisha kabisa ID yako manake ntakuporomoshea matusi ya kitandani kila nikuonapo
Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo
More to follow
Labda alitaka iandikwe ili 'kuhonga wabunge'.Mkuu unaeleweaje maneno "......ili kufankisha mawasiliano ya hotuba ya bajeti "
nilidhani barua ya kujiuzulu kumbe hiii? Tushaiona!
Anastahili pongeza kwa kufahamu nini maana ya kuwajibika. Waziri na Naibu Waziri aliyewasilisha bajeti isiyoondoa tatizo watapewa nafasi ya kwenda kusimama mbele ya Bunge na kusoma bajeti ingine? Watafakari na kuchukua uamuzi unaofaa