leo utashua/pandisha chati yako hapa JFUpdate:
Habari ambazo nazipata hapa katika ofisi za Mjengo ni kuwa Anawajibika kwa Rais. Hold on huenda PM akatoa tamko muda si mrefu. Ila kashawasilisha barua ya kujiuzuru. Tunatafuta maarifa ya kujua content.
SOURCE NI GHOST RYDER No More question Wakuu, Acheni tufanye kazi
Ikiwa unadanganya badilisha kabisa ID yako manake ntakuporomoshea matusi ya kitandani kila nikuonapo