Jamaa ameshindwa hata kukopi and paste from Mkapa. Wakati yeye Kikwete akiwa ni waziri wa mambo ya nje, safari nyingi za nje alikuwa anakwenda yeye, Mkapa alimwamini kama mwakilishi mzuri wa taifa (japo wakati mwingine inasemekana alikuwa anaacha mikutana na kwenda kujirusha na vimada). Lakini cha kushangaza yeye leo kamteua Membe kuwa waziri wa mambo ya nje, halafu mambo yote yanayohusiana na mambo ya nje anafanya yeye!! Membe ni kama sanamu tu. Kikwete ni kama hamuamini yeyote. Na hilo ndilo linalowapa wakati mgumu mawaziri wake katika suala zima la kufanya maamuzi na kufanya kazi kwa ubunifu. Kikwete ni zero kabisa.