Mwl Solomon
Member
- Oct 25, 2010
- 24
- 14
Ooooh jamani, naiombolezea nchi na taifa langu kwa unyang'anyi unaofanyika kwake!
Atakanaje huku directives zimetoka juu yake, kupitia yeye.Bora angekana na makosa ya Jairo kabisa
kikwete mwenyewe anatakiwa ajiuzulu haraka sana kwani angekua anafanya kazi kwa umakini na ukaribu na mawaziri wake yote haya yasingetokea ila anakula starehe nje ya nch kila kukicha na kuacha kila waziri ajiamulie atakalo na hawachukulii hatua yyt na hy ni dalili ya kutudharau watanzania.na baraza nzima la mawaziri na manaibu waziri pamoja na makatibu wazira wote wajiuzulu mara moja......maana wana copy na ku paste...ndio maana uchumi wetu unapolomoka kwa kasi....kikwete...ngoma zito waingize zito na mbowe na silaa ndani ya serikali yako....maana wote ni watanzania tena wazalendo na wanaweza kutumikia nchi....
Inaelekea humjui vizuri Kikwete wewe? Kwani angewaachia wenzake madaraka nchi ingeyumba namna hii? Ni kwamba Kikwete ni Rais yeye, waziri yeye, mkurugenzi yeye, balozi yeye. Kila jambo ni lazi yeye aagize na aamue. mwingine yeyote akiamua ni lawama tupu, na yupo likely kupoteza nafasi. Kwani kilichomponza Lowassa ni nini? Si hivyohivyo kujifanya na yeye ana maamuzi kama mtendaji mkuu wa serikali? Sasa yupo wapi? Hawa akina Ngeleja usione vile wanahangaika hawapati jawabu la tatizo la umeme, ni kwamba Kikwete ndiye anayesema kifanyike nini kwenye kila wizara.
Asante nimeipenda, Inaonekana umemchunguza kitambo! Kishahada cha Uchumi alichosoma ndo kinampa kibrii hataki kusikiliza ushauri wa wataalam walibobea ktk nyanja mbalimbali!Inaelekea humjui vizuri Kikwete wewe? Kwani angewaachia wenzake madaraka nchi ingeyumba namna hii? Ni kwamba Kikwete ni Rais yeye, waziri yeye, mkurugenzi yeye, balozi yeye. Kila jambo ni lazi yeye aagize na aamue. mwingine yeyote akiamua ni lawama tupu, na yupo likely kupoteza nafasi. Kwani kilichomponza Lowassa ni nini? Si hivyohivyo kujifanya na yeye ana maamuzi kama mtendaji mkuu wa serikali? Sasa yupo wapi? Hawa akina Ngeleja usione vile wanahangaika hawapati jawabu la tatizo la umeme, ni kwamba Kikwete ndiye anayesema kifanyike nini kwenye kila wizara.
Pinda kakanusha anasema labda jairo kaipeleka hiyo barua kwenye vyombo vya
habari lakini sio kwake hivo anamsubiria JK Atue bongo kutoka kwa madiba ndio ataamua ila yeye na ofisi yake
hana taarifa yeyote TBC News imerushwa muda sio mrefu
Pinda kakanusha anasema labda jairo kaipeleka hiyo barua kwenye vyombo vya habari lakini sio kwake hivo anamsubiria JK Atue bongo kutoka kwa madiba ndio ataamua ila yeye na ofisi yake hana taarifa yeyote TBC News imerushwa muda sio mrefu
Jamaa ameshindwa hata kukopi and paste from Mkapa. Wakati yeye Kikwete akiwa ni waziri wa mambo ya nje, safari nyingi za nje alikuwa anakwenda yeye, Mkapa alimwamini kama mwakilishi mzuri wa taifa (japo wakati mwingine inasemekana alikuwa anaacha mikutana na kwenda kujirusha na vimada). Lakini cha kushangaza yeye leo kamteua Membe kuwa waziri wa mambo ya nje, halafu mambo yote yanayohusiana na mambo ya nje anafanya yeye!! Membe ni kama sanamu tu. Kikwete ni kama hamuamini yeyote. Na hilo ndilo linalowapa wakati mgumu mawaziri wake katika suala zima la kufanya maamuzi na kufanya kazi kwa ubunifu. Kikwete ni zero kabisa.Aah, ndiyo maana anasafiri kila nchi kwa ziara ambazo wangeweza kwenda mawaziri au wawakilishi wengine!
Kweli hii ni nchi inatawaliwa na Vasco Dagama
kila waziri angejiamulia atakalo si pinda angeshamuwajibisha jairo?kikwete mwenyewe anatakiwa ajiuzulu haraka sana kwani angekua anafanya kazi kwa umakini na ukaribu na mawaziri wake yote haya yasingetokea ila anakula starehe nje ya nch kila kukicha na kuacha kila waziri ajiamulie atakalo na hawachukulii hatua yyt na hy ni dalili ya kutudharau watanzania.
Inasemekana TZS 1bn/- zimekusanywa, tukichukua idadi ya wabunge 320 kila mmoja angelamba 3.125m/-, Loo! Aibu sana. Mapato haramu kabisa!