NAJIDAKIA STORE
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 261
- 126
duuuh watoto wadogo wanapotea hawa
Inaonyesha msimamo wako unategemea msimamo wa watu wa marekani, maana umeshindwa kueleza msimamo wako na kuelezea sheria za marekani."Kuacha asili na imani yako na kuiga watu ambao hawajui asili wala imani yao(wasio jielewa)ni ujinga wa karne"Msimamo wa Trump sio msimamo wa nchi au msimamo wa sheria.
MAHAKAMA YA JUU ya MAREKANI mwaka 2003 ILIHALALISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA, na mwaka 2013 mahakama hiyo hiyo ilihalalisha NDOA ZA JINSIA MOJA. KWAHIYO, MATAMKO ya TRUMP ni maoni tu ambayo yanapeperushwa na UPEPO.
Huo ndio utawala wa sheria nchini marekani ambapo matamko ya Rais hayana nguvu ya kutingisha mihimili mingine ya serikali.
Sio kama huko kwenu TANDAHIMBA ambapo mkuu wa wilaya akijamba tu ushuzi wake unakuwa Sheria.
Mtoto wa Kiume wa Muigizaji Maarufu Duniani Will Smith, anayefahamika Kama Jaden Smith mwenye Umri wa Miaka 20 ametangaza Hadharani Kuwa Rapper na mchekeshaji Kutoka nchini Marekani Tyler the Creator alikuwa BoyFriend wake na Bado ni BoyFriend wake.
Kupitia Clip iliyoanza Kusambaa Sana Kwenye Mitandao ya Kijamii inamuonesha Jaden akiwa kwenye Stage akisia kuwa Tyler ni Rafiki yake Mkubwa wa Kiume na Bado Mpaka sasa wapo nae.
Wengi wameitafsiri Hii Kama Jaden amekuwa akishiriki Mapenzi ya Jinsia Moja, Kwa Jinsi Alivyokuwa akiongea kwa Hisia kwenye Video hiyo na Ikimuonesha Tyler akiwa na Kicheko kinachomaanisha kuwa Kweli Wawili hawa kuna Jambo litakuwa Linaendelea.
Pia soma
Mtoto wa Will Smith (Jaden Smith) azama kwenye penzi zito la mdogo wake Kim Kardashian - JamiiForums
Jaden Smith aendelea kusimangwa kwa kuvaa nguo za kike - JamiiForums
Mtoto wa Will Smith (Jaden) akiliwa Mate live na Mwanaume mwenzie! - JamiiForums
Inaonyesha msimamo wako unategemea msimamo wa watu wa marekani, maana umeshindwa kueleza msimamo wako na kuelezea sheria za marekani."Kuacha asili na imani yako na kuiga watu ambao hawajui asili wala imani yao(wasio jielewa)ni ujinga wa karne"