Jacqueline Wolper arudi CCM

1469331958323.jpg
 
Seriously kabisa tumajadili Wolper!!?

Angalia tuu maamuzi ya maisha yake ya kawaida halafu uta jaji kama alicho fanya ni kigeni

Anyway nadhan hii uzi ili takiwa iwe ni ya celebrities
Wasanii wana ushawishi mkubwa wa kuogeza member kwenye chama buda, wolper unajua atakuwa kaondoka ccm na mashabiki wake wangiapi waliokuwa UKAWA
 
Mpaka mkutano mkuu maalum unafungwa jana na Mhe Mwenyekiti mpya John Pombe Magufuli huyo Jack line Wolper hakuwa amerudi ccm. Ukisema amerudi usiku kwenye Muda wa burudani ingekuwa sawa zaidi.
 
even self decision anakosa so kurudi ccm siyo la kumshangaa, tanzania to make changes it will take alot of centuries coz we lack unity ni wepesi wa kudanganyika na kusalitiana
 
wote waliokuja chadema kipindi cha uchaguzi wa mwaka jana watarudi,chadema kitabaki na waliokuwepo toka awali,watu wenye mioyo safi.
 
chadema kuna marafiki wa ukweli na ni chama kinacho hitaji kujitolea zaidi.

ni tofaouti sana na alivyo kuwa anafikiria jackline yeye alijua akingia chadema akajua tajiri kwasababu yeye ni maarafu.
 
Kwa maoni yangu kisiasa na hasa tunapoelekea 2020 naona swali lako halina tija kwa vyama vya upinzani. Halisaidii upinzani kujitathmini na kujiwekea mikakati mipya ili 2020 iwe na mafanikio zaidi. Afterall, mtu kuondoka chama ni haki yake ya kidemokrasia.

Lamsingi ni kuwa more objective na kujiuliza maswali magumu ya kwanini watu au mtu anaondoka kwenye chama...demotivation ni nini?? etc etc
Ni kupoteza muda, kwa siasa zetu, kuanza kujiuliza sababu za watu kuhama vyama wakati ziko wazi! Watu wanatafuta fursa na nguvu za kimamlaka, basi. Wolper anatafuta pesa, Mpendazoe anajua CCM ya leo inaweza kumuondolea njaa kali aliyonayo baada ya kukosa fursa yoyote Chadema!
 
Back
Top Bottom