Jacqueline Silemu wa ITV...

Jacqueline Silemu wa ITV...

Jamani naomba nitoe langu la moyoni kuhusu mdada huyu anayeripotia luninga ya ITV. Ukweli ananivutia sana anavyoripoti matukio kiasi kwamba natamani taarifa yake iwe ndefu zaidi lakini mara nyingi zinakuwa fupi mno. Niuombe utawala wa ITV umhamishie kwenye kusoma taarifa kamili ya habari ili tufaidi umahili wa utangazaji wake. Ni ripota mwenye mvuto na anayeimudu vema kazi yake! Hongera sana da' Jack!

...chezea risasi veve!?...
 
Pale hata mimi udenda unatoka wajamen! King Kong III ebu nisaidie kanamba mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Heee! she is my sister..... ngoja nimwambie... nipo naye hapa.
 
Kiukweli hata mie na baadhi ya marafiki zangu hapa including mke wangu huwa tunampenda sana huyu binti kwa kazi yake pamoja na yule mwenye maneno mengi anaye tangaza michezo

hemedi kivuyo mkuu, mwanachama mwaminifu wa yanga na mtangazaji makini wa michezo kupitia luninga ya itv
 
Jamani naomba nitoe langu la moyoni kuhusu mdada huyu anayeripotia luninga ya ITV. Ukweli ananivutia sana anavyoripoti matukio kiasi kwamba natamani taarifa yake iwe ndefu zaidi lakini mara nyingi zinakuwa fupi mno. Niuombe utawala wa ITV umhamishie kwenye kusoma taarifa kamili ya habari ili tufaidi umahili wa utangazaji wake. Ni ripota mwenye mvuto na anayeimudu vema kazi yake! Hongera sana da' Jack!


Tahadhari kijana, usipende kuparamia visichana vya mze wa watoto. Yule Mze noma sana kwa watoto, atakuja kukuletea vijana wake wakumwagie tindikali, shauri yako.
 
Mwanangu wa kike, miaka 7 huwa anampenda sana huyu dada
 
0716990044, Hiyo hapo mwenye ubavu ampigie aje atupe majibu hapa.

Tahadhari
DO IT ON YOUR OWN RISK!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom