Weka picha tumuone, mimi simujui
Msioone vyaelea vimeundwa, hadi hapo alipofikia ni watu wamemtengeneza. Fanya kazi Jack usibweteke na misifa hiyo ya wenye pepo za ngono. Ingawa hata mm unaniumiza sana ukiwa umekunja ndita zako.
M-rekod kupitia Digitek.
Msioone vyaelea vimeundwa, hadi hapo alipofikia ni watu wamemtengeneza. Fanya kazi Jack usibweteke na misifa hiyo ya wenye pepo za ngono. Ingawa hata mm unaniumiza sana ukiwa umekunja ndita zako.
napita.......Jamani naomba nitoe langu la moyoni kuhusu mdada huyu anayeripotia luninga ya ITV. Ukweli ananivutia sana anavyoripoti matukio kiasi kwamba natamani taarifa yake iwe ndefu zaidi lakini mara nyingi zinakuwa fupi mno. Niuo
mbe utawala wa ITV umhamishie kwenye kusoma taarifa kamili ya habari ili tufaidi umahili wa utangazaji wake. Ni ripota mwenye mvuto na anayeimudu vema kazi yake! Hongera sana da' Jack!
Umetisha mkuu.Mie ningekupa code yake lakini sikupi kwani katika list ya watu ninaoplan kuwapitia 2014 ni huyu..
maisha yenyewe mafupi
Eh, s
NAKULA UJANA.......
poapoaidd amin alikuwa anakauli mbiu yake akiona msichana mzuri utamsikia anasema "mine mine, its mine''
Acha kujizushia eti demu wako, wakati tunajua anachukuliwa na hemed kivuyo
Acha kujizushia eti demu wako, wakati tunajua anachukuliwa na hemed kivuyo