Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi (K-Lynn) aomba marejeo ya kesi yake ya mirathi dhidi ya Watoto wa Mengi

Miss Pablo nina shaka na wewe kwa jinsi unavyohemka na Matusi kwa mtu asiyekutukana. Itakuwa wewe ni kati ya wanafamilia ya Reginald.

Hebu Muheshimuni huyo Dada ni Mama yenu pia. Hivyo tu yaani!
Mzee alikua ana Jenga kiwanda ambacho walemavu ndio wangekua wafanyakazi hapo!!..Sasa watoto wake ndio jukumu lao kutimiza Ndoto ya Mzee!!...Huyu Dada amekuja kuharibu na kuchelewasha mambo mengi sana!!
 
If that was the case then, why mzee Mengi alimpa ukurugenzu binti yake Regina wa East African Television? Kwanini yule kijana wake alimpa kua director of finance wa makampuni yake? Again, ni kwanini wosia ulisajiriwa kwa mwana sheria baada ya KIFO chake? Halafu na wewe unaamini kabisa mzee Mengi aandike wosia halafu mwana sheria wake atokee kabila moja na Jack? Mkuu unless na wewe uwe mfaidika wa hicho anacho kidai Jack nje ya hapo akili ya kawaida INAKATAA labda tu tuwe sio watu tunao fikiria vizuri
Aisee kama ndio hivi basi inafikirisha kweli. Na kama yeye Jack na mwanasheria wake walighushi hakika atakuwa kiumbe cha ajabu sana. So far nitaendelea kutokuhukumu upande wowote maana sina uhakika ni yupi yupo sahihi
 
Business partner wangu alitaka kuuziwa moja kati ya vitalu vya dhahabu mwaka jana Geita na kiongozi wa serikali kutoka sukuma gang tulivyofatilia tukagundua ni Mali za late Dr Mengi tukaachana navyo huyu mwanamke anatumiwa na hao baadhi ya sukuma gang ili waendeleze issue zao za kitapeli

Kuna watu wanajua Mali zikiwa mikononi mwa huyu mbulula wata Nunua kwa bei Ya kutupwa na wao watanufaika
 
Ndio maana umeandika bila ya kusoma kuna nini??!!..Huyo Dada ambae unasema ana haki kashindwa mahakamani kwasababu usia umeonekana sio Sawa na pia alifoji sahihi za marehemu!!.. Lakini mbaya zaidi ni nature ya Biashara za family ya huyu Mzee na Dada wa Mjini!!..Ina onyesha Dada alikua kwenye mahusiano lakini hakujua ana ishi na Nani?!!..Hadi kuzalishwa bado hakujua Tu!!..Ni aibu hii
Nimeandika kujibu comments zinazomuita mdanganyaji.
 
Mngeongea tu nje ya mahakama mgawane sawa kuliko kuparurana mahakamani, ningekuwa mimi ndio judge ningehakikisha pande zote mbili hampati lolote. Very selfish people!!
 
Business partner wangu alitaka kuuziwa moja kati ya vitalu vya dhahabu mwaka jana Geita na kiongozi wa serikali kutoka sukuma gang tulivyofatilia tukagundua ni Mali za late Dr Mengi tukaachana navyo huyu mwanamke anatumiwa na hao baadhi ya sukuma gang ili waendeleze issue zao za kitapeli

Kuna watu wanajua Mali zikiwa mikononi mwa huyu mbulula wats Nunua kwa bei Ya kutupwa na wao watanufaika
Hivi Sukuma gang ndio wakina nani?
 
Miss Pablo nina shaka na wewe kwa jinsi unavyohemka na Matusi kwa mtu asiyekutukana. Itakuwa wewe ni kati ya wanafamilia ya Reginald.

Hebu Muheshimuni huyo Dada ni Mama yenu pia. Hivyo tu yaani!
Kama jaki ni dada yako mwambie akazane kudanga huko dubai mpaka mbususu iwe nyekundu nduuu... huku wamachame tumejipanga barabara. Halaf kuwa na adabu. Uliona wapi malaya akaheshimika. Jiangalie wewe

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mzee alikua na familia kubwa hebu Fikiria watu wenye ulemavu waliokua wanapewa misaada na Mzee hebu Fikiria speech za Viongozi wa serikali na Taasisi nyingine kuhusu Maisha yake!!..Uliwahi kuona Chozi la Amiri jeshi mkuu wewe (JPM alitoa Chozi wakati ana muaga)
Huyu kapagawa huyu. Hawa ni wale watu hawajapata exposure vyena ya dunia ya kujua walimwengu na mambo yao mabaya. Huwa wanaamini watu wote ni wema. Hawaijui michezo michafu thats why unaona anaongea hv. Muda utampa nafasi zaidi ya kuwajua walimwengu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mzee alikua ana Jenga kiwanda ambacho walemavu ndio wangekua wafanyakazi hapo!!..Sasa watoto wake ndio jukumu lao kutimiza Ndoto ya Mzee!!...Huyu Dada amekuja kuharibu na kuchelewasha mambo mengi sana!!
Anajulia wapi haya. Lile genge la wajane limetawanyika vibaya mno. Ila bashote alikua anawapenda wajane jamani

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Aisee kama ndio hivi basi inafikirisha kweli. Na kama yeye Jack na mwanasheria wake walighushi hakika atakuwa kiumbe cha ajabu sana. So far nitaendelea kutokuhukumu upande wowote maana sina uhakika ni yupi yupo sahihi
Mkuu. Dubia unavyoiona sivyo ilivyo. Huyo jaki muone tu kwenye insta na akiongea kwa unyenyekevu. Acha kbs.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Business partner wangu alitaka kuuziwa moja kati ya vitalu vya dhahabu mwaka jana Geita na kiongozi wa serikali kutoka sukuma gang tulivyofatilia tukagundua ni Mali za late Dr Mengi tukaachana navyo huyu mwanamke anatumiwa na hao baadhi ya sukuma gang ili waendeleze issue zao za kitapeli

Kuna watu wanajua Mali zikiwa mikononi mwa huyu mbulula wats Nunua kwa bei Ya kutupwa na wao watanufaika
Hili ndo lengo lake toka awali. Alitaka auze kila kitu akimbie. Muha akawauze wasomi vile kirahisi? Asubutuu. Na migodi ameolewa ameikuta. She is very dumb

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom