Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Mzee alikua ana Jenga kiwanda ambacho walemavu ndio wangekua wafanyakazi hapo!!..Sasa watoto wake ndio jukumu lao kutimiza Ndoto ya Mzee!!...Huyu Dada amekuja kuharibu na kuchelewasha mambo mengi sana!!Miss Pablo nina shaka na wewe kwa jinsi unavyohemka na Matusi kwa mtu asiyekutukana. Itakuwa wewe ni kati ya wanafamilia ya Reginald.
Hebu Muheshimuni huyo Dada ni Mama yenu pia. Hivyo tu yaani!