Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,348
Bush lawyers wa magomeni mshaanza kuformulate ideas zinginekuondoa utata, Abdiel amuoe Jack, mali zote zizungukie huko huko kwenye familia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bush lawyers wa magomeni mshaanza kuformulate ideas zinginekuondoa utata, Abdiel amuoe Jack, mali zote zizungukie huko huko kwenye familia.
Mbona mama Mercy alimpeleka Mengi mahakamani muda tu na watoto wake wanaingiziwa hela za maana kutokana na shares za mama yao. Hapo wanapigania haki ya baba yao so far I know lbd kama hizi info hazikuw za kweliNdo hapo jack alipochemka halafu ,by meansa atapata share ila siyo kama alivyotaka yeye 50% ya mama mercy hiyo haina mjadala kesi itahamia kwenye 50% ya baba yao hapo ndo kuna shida na sisi tunao shindaga shindaga viunga vya mahakamani na kutonya sasa jack hatoboi kwenye hii kesi hana valid docuw hata moja ,asubiri kuishi kwa hisani ya mapacha ambao automatically watapata tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliosoma wosia vizuri...etiii mengi amefuta wosia zake zote ikiwemo ile ya separation yake na mama mercy sijuii unaelewa vizuri kasome ndo utajua kwa nini watu wana mgandamiza jackline,halafu kuhusu ndugu wa mengi kusimamia mirathi kabla haya ya wosia huu ambao pia amemtaja Benjamin mengi kaka yake kama msimamizi,pia hata huko nyuma kwenye wosia mingine alimtaja piaMbona mama Mercy alimpeleka Mengi mahakamani muda tu na watoto wake wanaingiziwa hela za maana kutokana na shares za mama yao. Hapo wanapigania haki ya baba yao so far I know lbd kama hizi info hazikuw za kweli
kuondoa utata, Abdiel amuoe Jack, mali zote zizungukie huko huko kwenye familia.
Kichaga ingekua zamani kaka wa Mengi angeweza kumrithi kyln sio mtoto , ndugu wa mume walikua wanarithi mali na mke lakini nani anataka mke mdangaji na jambazi kama kyln
Soma maelezo yake....
Ushaidi ndio huo Mengi ni ngozi nyeusi wa kwanza kutaka kuona Mali zake zinaendelezwa kizazi na kizazi ndio maana Mzee alifika sehemu akastaafu, katafuta mke wakaanza kula Pension hali watoto wako endelea kuchapa kazi... Kumbuka Mengi alikuwa Tajiri msomi, mwenye exposure na aliyekutana na watu wengi.. Bila shaka alijifunza jinsi ya kuendeleza mali... Si kama matajiri wengine wakifa na mali wanaenda nazo...
Sio swala la kufikiri Bali unaona.. Mengi kaanza kuwafundisha watoto wake biashara matunda unayaona.. Ni bahati mbaya tu Hawa watoto hawana watoto... Ndio maana nikasema huyu Dada angekuwa na akili basi angekaa nao vizuri ili watoto wake waje waendeleza mali za Mzee... Ni lazima uangalie faida ya kesho kuliko ya Leo...
Swala la shauri lilopelekwa Mahakama siwezi liongelea maana kila mtu ana mtizamo tofuati wao wameona hivyo na wewe kwa mtizamo wako unaona bora wangefanya vingine... Wanaweza kuwa wrong au write hii itatokana na ushahidi walionao.. Ambao hata bi Dada anakiri kuwa Mzee wakati amepata stroke alisema mali yote ni yake..
Watuna Data hii copy hata Regina Na Abidiel Na K_ylin hawana Mpaka wakagoogle nyie mnazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliosoma wosia vizuri...etiii mengi amefuta wosia zake zote ikiwemo ile ya separation yake na mama mercy sijuii unaelewa vizuri kasome ndo utajua kwa nini watu wana mgandamiza jackline,halafu kuhusu ndugu wa mengi kusimamia mirathi kabla haya ya wosia huu ambao pia amemtaja Benjamin mengi kaka yake kama msimamizi,pia hata huko nyuma kwenye wosia mingine alimtaja pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni moja tu "wosio " Neno nimemwachia Jack mali zangu zote... Hili neno zote linahitaji uwe na roho ya kimafia kulikubali watoto wakubwa wa marehemu ambao wanazaliwa Baba hana kitu wanashirikiana na mzee wao mpaka kupata mali zote hizo Leo kirahis kirahisi mtu anakuja na kusema amtakiwi kupata kitu hapa
Narudia inahitaji kuwa mchawi kukubali hili neno zote likubaliwe na mahakama na watoto wakubwa wabaki mikono mitupu Au wapewe 1000
Hata kama Jack atapewa kikubwa let say 75% na 25% wapewe watoto inamake sense kuliko yeye apate pekee yake 100% .Bila aibu Unasimama mahakamani kbs embu tumuogope Mungu Pia na nyinyi wanawake mlikuwepo humu acheni kuwa na roho za tamaa umependwa na mtu mpaka kufikia kufanya uwamuzi wa kijinga kwenye wosia embu jaribu kumshauri kuwa hata kama anakupenda pia ni jukumu lake kuwakumbuka watoto wake wa mke mkubwa kwani nao wanahaki kama nilivyo mimi tena pengine zaid usinipendelee mwenyewe... Jack angelikuwa mungwana nae agelipaswa kumkumbusha mengi hilo
Wewe ndo msaidizi wake amaWatuna Data hii copy hata Regina Na Abidiel Na K_ylin hawana Mpaka wakagoogle nyie mnazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona Kuna mwanamke yuko side ya Jack basi huyo wa kumuangalia Mimi sisapoti uchawi kabisaaTatizo ni moja tu "wosio " Neno nimemwachia Jack mali zangu zote... Hili neno zote linahitaji uwe na roho ya kimafia kulikubali watoto wakubwa wa marehemu ambao wanazaliwa Baba hana kitu wanashirikiana na mzee wao mpaka kupata mali zote hizo Leo kirahis kirahisi mtu anakuja na kusema amtakiwi kupata kitu hapa
Narudia inahitaji kuwa mchawi kukubali hili neno zote likubaliwe na mahakama na watoto wakubwa wabaki mikono mitupu Au wapewe 1000
Hata kama Jack atapewa kikubwa let say 75% na 25% wapewe watoto inamake sense kuliko yeye apate pekee yake 100% .Bila aibu Unasimama mahakamani kbs embu tumuogope Mungu Pia na nyinyi wanawake mlikuwepo humu acheni kuwa na roho za tamaa umependwa na mtu mpaka kufikia kufanya uwamuzi wa kijinga kwenye wosia embu jaribu kumshauri kuwa hata kama anakupenda pia ni jukumu lake kuwakumbuka watoto wake wa mke mkubwa kwani nao wanahaki kama nilivyo mimi tena pengine zaid usinipendelee mwenyewe... Jack angelikuwa mungwana nae agelipaswa kumkumbusha mengi hilo
Kuna vigezo vya kuandika wosia.Kawafukuzaje Jack wakati wosia kaandika Mengi?
Mwenye mali ndo kaamua kumpa Jack kwa utashi wake si watafute za kwao!
Kichekesho ni kwamba huo mchango mnaujua nyie watu baki tu kuliko mwenye mali mwenyewe!
Wenye mchango wa kumfanya mtu akawa millionaire Kama Mengi hawawezi kung'ang'ania mali za watu.
Ukiona Kuna mwanamke yuko side ya Jack basi huyo wa kumuangalia Mimi sisapoti uchawi kabisaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unajuaje kama haja muachia, waswahili kweli mnamambo ya kiswahili swahili, kwani sasa hivi anaye manage makampuni ni nani??Regina asingekuwa mapepe, baba ake angemuachia urithi, lakin ndio hivyo kampani yake ya wasagaji akina Salama Jabir imemponza.
Regina asingekuwa mapepe, baba ake angemuachia urithi, lakin ndio hivyo kampani yake ya wasagaji akina Salama Jabir imemponza.
Kuna jamaa flani enzi miaka ya nyuma sana alitaka kumuoa but aliogopa sasa sjui ni tabia au pesa za baba yakeRegina asingekuwa mapepe, baba ake angemuachia urithi, lakin ndio hivyo kampani yake ya wasagaji akina Salama Jabir imemponza.
Bushlawyer ni mweupe sana kichwani,nadhani labda ccm ndio wanamtumia kwenye kumshauri polepole na kumuandikia hotuba bashiru
Sent using Jamii Forums mobile app