Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,117
- 3,040
Kuna kitu kilimpa Mengi mashaka hadi kuanzisha familia nyingine. Binti yake ktk umri huo hakuw na mme wala mtoto mwanae wa kiume hivyohivyo.Na miaka yake sjui mingapi hakuwa na wajukuu.Sidhani kama alikuw na furah sana akiiangalia ndoa yake iliyosambaratika na watoto wake wote hawajaoa /kuolewa na hawana watoto. Pesa itakupa starehe lkn furaha na amani ni vitu independent sana. It's out of topic anyways. .......
Baba anapozaa mtoto wa uzeeni inaumiza sana Especially na mwanamke wa nje kunakua. na ile hulka flani inatokea kua na mimi je nikizaa watoto umri sawa na wadogo zangu itakuaje aibu
Uwa tunabaki kusema subili wadogo zangu wakue kue kwanza ili angalau nitakapozaa watoto wasilingane na wadogo zangu ki umri,ukija kutaamaki umri umeenda by the way wao kutokuzaa ni majaliwa pia ya mwenyezi mungu, watazaa wakati ukifika umri Bado unaluusu, mwanaume atazaa hata akifika Miaka 100
Mzee Mengi (RIP)kuzaa kwake na kyln alilazimishwa sana dem alikua yupo kimkakati kwa ajili ya urithi ,haikua plan ya mzee ndio maana huko kote kuanzia Mercy galabawa, Madam Rita , Restyfishy,Happiness Magese na wengine wengi tu alipita hakuzaa kwa Sababu hao hawakumshika mzee kimadawa wala hawakua na nia ya kurithi walilizika na walichokua wakipewa kwa wakati wao