F9T
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,645
- 4,891
sasa wewe mwenyewe unakiri kuwa jiwe na mzee mengi walikuwa wanaelewana sana, na kwa mujibu wa jack ule wosia aliuandika mzee mengi, hivi hapo unafikiri automatic jiwe yupo upande gani kama sio upande wa wosia?.Msiiingize Ikulu kwenye Hili , wote tunajua uhusiano aliokua nao Mh Raisi na Mengi pamoja na Uchaga wake lakini walielewana sana na mH Raisi