CCM itatawala daima. hakuna mwingine zaidi ya ccm
Itabidi pia na wewe upitie historia ya dunia... kama kweli kuna dola ilidumi milele basi utueleze.
Vinginevyo na wewe utakuwa kama wale wanaoota siku CCM itapopigwa chini...
Unajua package yake ya kustaafu huyu? Unaota ndoto mkuu, huyu hukutani naye kwenye mishemishe zako, yeye ni kuku kwa mrija mdundo mmoja.twamtakia mapumziko mema ya kustaafu,karibu sana mtaani ambako hakuna kusaini posho za vikao,ni full mishemishe ndo mkono uende kinywani
Dark City Unapoteza bure Muda Wako Kushindana na Kujibizana Na Huyo Mburula na Wamo Wengi tu Humu.....!!!!!!
Hii taarifa sio ya siri, jamaa alishaanza kuaga kitambo, ila bora kaondoka alikuwa kauzibe tu.
wewe kama ni mtumishi wa Umma, jukumu la kustawisha maisha ya wananchi wa kijijini kwenu ni lako? aisee mbona CHADEMA viroba vinawapelekesha sana?
Hii taarifa sio ya siri, jamaa alishaanza kuaga kitambo, ila bora kaondoka alikuwa kauzibe tu.
Mkuu, unaweza kutuambia aliaga wapi hicho kitambo na alikuwa kauzibe kwa nani?Hii taarifa sio ya siri, jamaa alishaanza kuaga kitambo, ila bora kaondoka alikuwa kauzibe tu.
mkuu huyo mleta mada atakuwa mtumishi wa TISS huko huko, nimeanza kuamini maneno ya SLAA kwamba ana maafisa usalama wana mpa taarifa. Hivi watu huwa wanalalamika kuwa TISS inatumika kuwatesa watu, si ingefaa hata huyu msaliti wao anayemwandika Bossi wake kuwa amestaafu naye achinjwe tu.
muhagama kesha'staafu ...!?
Kazi ya ushushushu huwa hawastaafu bali wanaondoka ofisini lakini wanaendelea na kazi!!!
sio hivyo tu mkuu,bali atakufa kwa aibu na fedheha sana mbele za Mungu! mikono yake imejaa damu za watanzania na hazitamwacha salama!!!
Sidhani kama ni kipimo tosha kuwa Usalama wa Taifa hawafanyi kazi. Ninachojua mimi ni kwamba kazi yao ni kuishauri serikali na siyo kuchukua hatua. Vile vile siamini kama kuwakamata wauza madawa ya kulevya, kukamata najangili ndiyo majukumu pekee ya Idara ya Usalama wa taifa.
Ndo waalimu wenu vilaza walivyowafundisha?
ZOKA hakuwa shushushu alikua naibu mkurugenzi anaeshughulikia siasa pale TISS ushushushu ni level za chini na hata nao hustaafu na kuendelea na maisha yao...